Aanze kujihukumu yeye na serikali yao alipokua madarakani kwa kuacha nyufa na kudharau kuiziba sasa ukuta ndo ushamwangukia ananyooshea watu kidole
Mtanganyika naunga mkono maneno yako. Alikuwa wapi kabla au kwa sababu amekosa nafasi? Sitetei SISIEMU bali nawasaidia watanzania wengi kama si wote waliosahau kuhusu uongozi mbaya uliopita na ambao upo sasa haya yote ni matokeo ya kina Sumaye na wenziye waliopita kama wangeona na kuondoa mapema tusingefika hapa tulipo. Kila jambo lina mwisho wake, sababu mwanadamu anayeweza kugundua na kuweka mambo ili maisha yaende ANAKUFA je kilichogunduliwa na kuwekwa kwa nini kisife. FUNGUKA MTANZANIA UNAWEZA KUJIKOMBOA UKIAMUA BILA KUPTEZA AMANI. Ila tusikubali kudanganywa tena na WAROHO WA MADARAKA.