Ndugu wana JF, mzalendo nchini kwetu tunaweza kumtafsiri vipi? Kuna wengine tumekuwa tukitafsiri mzalendo kwa maana ya rangi na wangine kwa maana ya uzawa. (With ref kwa bwana Mengi tumekuwa tukimuita mzalendo but RA yeye si mzalendo tumemuita kwa majina mengi). Kwahiyo wale polisi Bukoba wanaochukua rushwa na baadae kuvamiwa na wananchi ni wazalendo? Au wale walihusika katika mauaji mbalimbali ni wazalendo? Nini hasa kinamfanya mtu aitwe mzalendo? Mie na wewe tunaitwa wazalendo? Wanasiasa? Uzalendo unapatikanaje?