Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Ipi Ruttashobolwa ?Ile kule ndio yenyewe
Last edited by a moderator:
Ipi Ruttashobolwa ?Ile kule ndio yenyewe
TANMO............Tanzania Association of Natural mental Operation
b52 kombola ambalo likiachiwa mahali linafumua kila kitu bila hiyana!
Salamu zangu kwa @fp
Pamoja na kutafsiri majina kibao, ila ameshindwa kutafsiri TANMO.
...natangazo lenyewe ndio hili..?.. Erickb52 dai hela ya Tangazo..jamaa kapewa bakuli la kisusio kaja kuweka Ads humu...kweli mjini mipango. TANMOHalafu anawakaribisha sana pale Kimario Kisusio Centre mje kuonja ladha halisi ya Kisusio (ambacho amekitafsiri kama Knife not)
salamu zimefika pure live, lol!b52 kombola ambalo likiachiwa mahali linafumua kila kitu bila hiyana!
Salamu zangu kwa @fp
I am very much around....sema tumekuwa kikazi zaidi siku hizi,lol! sweetlady, happy birthday keki yangu iko wapi?
Heeeee !!!ulikuwa wapi mpaka mtoto nishaanza kula makande?.............keki yako ipo nimekufichia........na wewe zawadi yangu iko wapi?
Njoo uchukue sasa hivi thamaki thamaki....njooo sweetlady. Nikuimbie happy birthday
Nakuja :lol:
Njooo haraka tafadhali...ikifika saa tano me kwenda kulala...keki itaoza...sauti itakauka...ndio mpaka mwakani tena.