Tafsiri na uchambuzi wa matokeo ya udiwani

The problem is, at the time you think on moving forward with M4C, Mbowe, Slaa and Zitto think on how they should participate in this movement to capitalize individual political popularity for the sake of Presidency by the year 2015.
Therefore they are no longer focusing on building reputation for the party and attract Political Faith from the entire Community.
N.B: Top Leaders are no longer together Ideologically and Visionarly for the broader interest of the Party, It is only the matter of Time before you recognize the truth

If they are not am giving Tanzanians an offer am going to stand onbehalf of everybody and work out my way through to place a person have chosen to be my president..Am not waiting for anybody..i can do on my own bila msaada wa mtu yeyote kama fisadi moja anaweza kupanga watu wake mm nitashindwaje.....

Watch and see how power speaks....Is not about what the crowed say is about knowing how to effect change and make it to pass....
 
Inawezekana kuwa ni kweli CDM kwa macho ya haraka na yakikawaida haikufanya vizuri lakini kumbukeni kuwa wapiga kura ni wale wale wa 2010 hakuna assume ongezeko sana sana wamepungua by death na wengine kutopiga. That means waliobadilika from CCM ku-opt CDM ni wengi by about 11% huku waliotoka CDM kwenda CCM ni 0%. Lakini kumbuka CCM wamepoteza imani ya potential voters wake by 11% huku CDM katika ile ile universal set ime convice wale ambao hawakuwa wanawakubali by 11%..

Kwa wale wanaojua mahesabu ya population hiyo ni habari mbaya sana kwa CCM kuliko hizo percent (absolute 11%) unayoiona....Maana kuna mambo ya exponential growth na geometric growth ambapo kuna kitu kina itwa silent increase (invisible) ndiyo maana kwenye population unaambiwa ita double ama triple baada ya muda fulani..Nini maana yake hao walioikubali CDM ukichanganya na wale ambao hawakuenda kupiga kura (ambao walikuwa wengi 2010 na wengine wameongezeka safari hii) plus wale ambao ni associate wa wale 11% i.e relatives friends na children ambao walikuwa below 18 by the time kura ilipopigwa 2010; ukifanya hizo hesabu ndicho hicho Dr. Kitila alicho report hapo....

Lakini pia hii ni changamoto kwa CDM kwamba kuna factor ambayo wasipoiangalia bado raia wako na social capital kubwa na hivyo hizo informal contracts za rushwa ili kupigiwa kura in form of promises and materials lazima zitafutiwe dawa...Habari mbaya kwa CCM hiyo dawa inajulikana ndani ya CDM and in no time CCM ita cramble kama Mbuyu uangukavyo unapooza kwenye mizizi.....

Yawezekana kuwa kigezo cha kujenga utetezi huu unaosema, ukweli ni huu siasa katika siku za leo ni sayansi. Inaonekana wazi Chadema wameshinda kuivunja ngome ya CCM kwani Chadema wameweza kutetea viti vyao viwili na kuongeza vitatu huku CCM ikiendelea kukalia usukani katika uchaguzi huu kwa kushinda karibu 75% Picha ninayoweza kupata ni kwamba Chadema ushawishi wake bado haujakubalika na wananchi, kwani uchaguzi Mkuu ungefanyika leo matokeo yangekuwa kama tunayoyaona, wakati Chadema wamezunguka karibu nchi nzima kunadi sera zao huku wakivuna wanachama wapya mamia kwa mamia.

Moja ya maeneo ambayo wanachama wapya wamevunwa hivi punde ni kanda ya Ziwa alikofanya kampi mwenyekiti wa umoja wa Vijana Heche ambako Chadema imeangukia pua bila kuambulia kiti hata kimoja cha udiwani, hiyo kazi ya kuvuna wanachama wapya wenye motomoto huenda ulikuwa ni mtego tu wa wajanja na Chadema wameingia kichwa kichwa.

Kama hoja ni wapiga kura wale wale inamaanisha Chadema wameshindwa kuwashawishi wapiga kura wale wale waigeukie Chadema na hivyo wangali na mapenzi makubwa kwa CCM.
 
Mzee Mwanakijiji

Kuna haja ya kuangalia upya matumizi ya mikutano ya hadhara. They are good, but not enough by themselves in the context of TZ politics.

Wengine tulishaona hili muda mrefu tuu. Hii mikutano ya hadhara haisadii chochote. Kuna umhimu wa kuwa na two ways conversation kati ya wapiga kura na wapigiwa kura. Mikutano ya hadhara do not lead to two ways conversation. Mtu anapanda jukwaa anaongea and that is it. In fact wanapiga kura wanakuwa neglected; hawapewi nafasi ya kutosha ya kum-scrutinize mgombea au ku- question mnayosema. Chadema should not take voters for granted kwa kuwa tuu CCM iko katika hali mbaya na kudhani watapigiwa kura kwa kwenda pale na kuwahutubia tuu.

Vyama vya upinzani ikiwemo Chadema vimefanya mikutano ya hadhara mwaka 1995, 2000, 2005 and 2010 lakini hii mikutano didn't work out. Watu wengi wanajitokeza kwenye hiyo mikutano ya hadhara ikiwemo hata ile ya CCM lakini ni wangapi wanapiga kura?

Badala ya mikutano ya hadhara ambayo mara nyingi ni one way conversation, wanasiasa wakae na watu wajadili issues. Watu wataji-feel open and safe kujadili issues internally bila drama yoyote. Kama huko vijijini wa-recruit timu ambayo inaishi the people lives that way. Sio unatoa watu mijini waka-campaign vijijini. Build connections huko huko vijijini kwa kutumia watu wa huko huko.

Wape watu the means of participation and keep them informed kwa njia mbalimbali. Hapa nina maana sio wanachama tuu bali watu wote uliokutana nao. Teams zijikite huko vijijini either as volunteers or paid (ruzuku si zipo?) wakiwasiliana na kujadiliana na wanavijiji, wakifanya surveys and building databases. Siyo mnaenda kwenye kijiji mnaitisha mkutano wa hadharara huku mkiongea mambo yale yale. Baada ya hapo mnawatimulia vumbi na ma-VX yenu hao bomba.

Badala ya mikutano ya mihadhara hata door to door campaigning ni much better kwa sababu inakuwa ni two way conversations. At the end of the day, unaweza ukawa na uhakika (database) kuwa kwenye nyumba fulani una guarantee ya kupata kura ngapi. Na inapofika wakati wa kupiga na kuhesabu kura inakuwa rahisi zaidi ku-monitor uchakachuaji wowote kwa sababu tayari utakuwa na preliminary database kuwa kwenye kata fulani ulikuwa unategemea kura ngapi.

Hivi baada ya kufanya hiyo mikutano ya hadhara ya M4C huwa mnachukua feedback? How? How do you assess kama mkutano ulikuwa na mafanikio? Kwa kuangalia tuu idadi ya watu waliohudhuria? Kwa kushangiliwa na kusukumwa gari? Kwa kugawa kadi mpya? How do you monitor and evaluate your M4C?

Maana kwa matokeo haya ya udiwani CCM watakuwa wanasema: Oh! It is not that bad as we thought. Wanaweza kufungua chupa ya champagne na kujipongeza. But not Chedema.
 
Yawezekana kuwa kigezo cha kujenga utetezi huu unaosema, ukweli ni huu siasa katika siku za leo ni sayansi. Inaonekana wazi Chadema wameshinda kuivunja ngome ya CCM kwani Chadema wameweza kutetea viti vyao viwili na kuongeza vitatu huku CCM ikiendelea kukalia usukani katika uchaguzi huu kwa kushinda karibu 75% Picha ninayoweza kupata ni kwamba Chadema ushawishi wake bado haujakubalika na wananchi, kwani uchaguzi Mkuu ungefanyika leo matokeo yangekuwa kama tunayoyaona, wakati Chadema wamezunguka karibu nchi nzima kunadi sera zao huku wakivuna wanachama wapya mamia kwa mamia.

Moja ya maeneo ambayo wanachama wapya wamevunwa hivi punde ni kanda ya Ziwa alikofanya kampi mwenyekiti wa umoja wa Vijana Heche ambako Chadema imeangukia pua bila kuambulia kiti hata kimoja cha udiwani, hiyo kazi ya kuvuna wanachama wapya wenye motomoto huenda ulikuwa ni mtego tu wa wajanja na Chadema wameingia kichwa kichwa.

Kama hoja ni wapiga kura wale wale inamaanisha Chadema wameshindwa kuwashawishi wapiga kura wale wale waigeukie Chadema na hivyo wangali na mapenzi makubwa kwa CCM.


Kama CDM ingeshinda kwa asilimia let say 50% kwa muda huu mfupi mfupi basi ujue kabisa dola imedondoka hakuna kitu na nchi ingeingia katika sinto fahamu haraka sana (kitu ambacho nature huwa hairuhusu)......Opinion za watu hata katika biashara hazi change kwa speed ya hivyo ama sivyo kungekuwa hakuna stability...Kuna watu wana itwa innovators, early adopters, adopters na laggers percent kubwa na kuna kuwa na normal distribution kwa maana ya extension ina maana early adopter (huwa 10% mara nyingi) na innovators (5% mara nyingi) wote ambao ni young, educated and economically abled people katika maeneo hayo wameshaikubali CDM..Uzuri wa hao ni ma-extensionist wazuri na hao adopters na laggers wote wanashawishiwa haraka na hilo kundi la mwanzo..So tusiwe ambitious bila sababu hii kwa CDM ni tremendous increase kwa muda waliokua nao tangu uchaguzi.....
 
Huko kupanda au kushuka kwa asilimia ukokotozi wake unaegemea kwenye msingi upi?

Asilimia 60 za CHADEMA zinatokana na nini na hizi aslimia 11.1 za CCM nazo pia zinatokana na nini?

Je, kata hizi 29 ndizo kata zote za Tanzania?

kata zilizofanya chaguzi ndogo ni 29 nchi nzima kwa sababu mbalimbali9madiwani walikuwa wamefariki,au sababu zingine).
asilimia 11,ni zile kata ccm alizopoteza kwa upinzani.!!!
 
Kama CDM ingeshinda kwa asilimia let say 50% kwa muda huu mfupi mfupi basi ujue kabisa dola imedondoka hakuna kitu na nchi ingeingia katika sinto fahamu haraka sana (kitu ambacho nature huwa hairuhusu)......Opinion za watu hata katika biashara hazi change kwa speed ya hivyo ama sivyo kungekuwa hakuna stability...Kuna watu wana itwa innovators, early adopters, adopters na laggers percent kubwa na kuna kuwa na normal distribution kwa maana ya extension ina maana early adopter (huwa 10% mara nyingi) na innovators (5% mara nyingi) wote ambao ni young, educated and economically abled people katika maeneo hayo wameshaikubali CDM..Uzuri wa hao ni ma-extensionist wazuri na hao adopters na laggers wote wanashawishiwa haraka na hilo kundi la mwanzo..So tusiwe ambitious bila sababu hii kwa CDM ni tremendous increase kwa muda waliokua nao tangu uchaguzi.....

Labda niulize swali ambalo niliuliza mwaka jana lakini hakuna aliyejibu. Why in just five years, President Sata managed to built an admirably big party, attracting huge crowds at campaign rallies and paid off in the 2006 election, raising 44 legislators in the 150-member National Assembly kabla ya kushinda urais mwaka jana? Kwa nini Chadema na vyama vingine vya upinzani Tanzania vimeshindwa kufanya hivyo tokea mwaka 1995?
 
Yawezekana kuwa kigezo cha kujenga utetezi huu unaosema, ukweli ni huu siasa katika siku za leo ni sayansi. Inaonekana wazi Chadema wameshinda kuivunja ngome ya CCM kwani Chadema wameweza kutetea viti vyao viwili na kuongeza vitatu huku CCM ikiendelea kukalia usukani katika uchaguzi huu kwa kushinda karibu 75% Picha ninayoweza kupata ni kwamba Chadema ushawishi wake bado haujakubalika na wananchi, kwani uchaguzi Mkuu ungefanyika leo matokeo yangekuwa kama tunayoyaona, wakati Chadema wamezunguka karibu nchi nzima kunadi sera zao huku wakivuna wanachama wapya mamia kwa mamia.

Moja ya maeneo ambayo wanachama wapya wamevunwa hivi punde ni kanda ya Ziwa alikofanya kampi mwenyekiti wa umoja wa Vijana Heche ambako Chadema imeangukia pua bila kuambulia kiti hata kimoja cha udiwani, hiyo kazi ya kuvuna wanachama wapya wenye motomoto huenda ulikuwa ni mtego tu wa wajanja na Chadema wameingia kichwa kichwa.

Kama hoja ni wapiga kura wale wale inamaanisha Chadema wameshindwa kuwashawishi wapiga kura wale wale waigeukie Chadema na hivyo wangali na mapenzi makubwa kwa CCM.

Ndugu yangu Candid Scope,

Hoja ya wapiga kura wale wale Ina mantiki pana sana nadhani unaelewa sample na nature ya wapiga kura wa CCM , kwanza lazima wapewe kitu kidogo, uelewa Mdogo , elimu ya kujitambua na Uraia Ndogo na wamekuwa victim wa mfumo mbovu wa utawala hivyo wamejazwa hofu tupu!kuhusu vyama shindani!

Sasa kwa hali Kama hiyo lazima utengeneze wapiga kura waPya ambao chadema imekwisha watengeneza wa kutosha lakini mfumo huu tulio nao hauwapi chadema nafasi ya kuwatumia wapiga kura wao wapya.
Sio lazima kushawishi wapiga kura wale wale unaweza kutengeneza new political coalition na kushinda uchaguzi Kama mfumo wa uchaguzi sio rigged kama wa kwetu
 
Labda niulize swali ambalo niliuliza mwaka jana lakini hakuna aliyejibu. Why in just five years, President Sata managed to built an admirably big party, attracting huge crowds at campaign rallies and paid off in the 2006 election, raising 44 legislators in the 150-member National Assembly kabla ya kushinda urais mwaka jana? Kwa nini Chadema na vyama vingine vya upinzani Tanzania vimeshindwa kufanya hivyo tokea mwaka 1995?


The question though too big for me..Let me try out.....Ni kuwa Zambia ilisha bomoa ile dominant system iliyokuwepo wakati wa Kaunda..so kwa Zambia change was not new but was a trend...Pili kwakua Zambia ilishaingia kwenye mageuzi mapema zaidi kuliko Tanzania pengine sheria zake zilikuwa siyo za party supremacy kama ilivyo kwa CCM ambapo kuna blend ya hali ya juu kiasi ambacho dola yote inaongozwa na makada tena ambao wengi wao wako katika comfort zone so it means katika dola ya Tanzania every chief execative has a stake into it so kuiondoa CCM ni aoutomatically kuwatangazia wao ku loose so everybody is watching that na wako waangalifu sana kuangalia how much the will gain or loose if it happens CCM ina loose..So far inaonekana wengi wata loose kuliko ku-gain so bora kwa mbinu yeyote ile kuendelea kuisaidia CCM kuliko kuwaacha hawa new comers kwanza ku-gain popularity na hata pia kuwin....

Ndiyo maana CCM ikiona potential figures wanataka kutoka wana compromise haraka sana....

Lakini hii haina maana kuwa CDM hai advance inavyotakiwa...Inajitahidi sana lakini katika hali ngumu sana na elimu ya uraia haina zaidi ya miaka miwili napo wengi wa wanaohamasika si stakeholders kwenye huu uchanguzi hivyo kupima mafanikio ya old wine kwenye kkiriba kipya ni too unrealistic..Kunge boreshwa daftari na watu wote wakapiga kura...turn up tungeiona bado mbaya ama kuna badiliko?..Siyo hawa old guys ambao wengi kwanza wamebakizwa katika daftari kwa mbinu chafu na wengi shahada zao waliziuza wakati ule wa ujinga....So haya matokeo kwa upande wa CCM ndiyo ambao unawapa nafasi ya kujipima zaidi kuliko CDM kwani kwa CDM kuna potentials wake wengi ambao wamekuwa excluded.....Na CCM inajua mbinu zake hasa katika muujiza huu wa daftari la mpiga kura and what happened kwa zaidi ya potential voters 50% wakati huo kutopiga kura..Je ni kweli hawakwenda ama kuna mbinu ambayo wao wanaijua ilitumika?

So inshort thats it!
 
Namna nyingine ya kuangalia ni kuwa labda ujumbe wa CDM bado haujaeleweka sana, haujakubalika, au haujafikika vizuri kwa wananchi.

Kama watu wangekuwa wanapima hamasa, na mikutano ya watu na jinsi ambavyo CDM jina lake limekuwa saturated kwenye jamii ya Watanzania ni wazi kuwa matokeo haya yalitakiwa yawe CCM viti 5 na CDM viti hivyo vingine. Matokeo haya yanaakisi yale ya Uchaguzi Mkuu ambapo pamoja na mengi sana CDM haikuweza hata kushinda viti 50 vya ubunge licha ya jina lake kutangaa sana mwaka 2010.

Jambo ambalo ni la hatari (kwa chama cha siasa) ni kuangalia "nje" yake kama sababu ya kutofanya vizuri zaidi. Kama CCM ikiwa dhaifu namna hii bado inaweza kushinda, itakuwaje ikija kupata nguvu?


sababu kubwa na ya msingi, ni kutokuwepo kwa uboreshaji wa daftari la wapiga na wengi wa vijana ambao ndio vipenzi wa CDM kutokuwa na uwezo wa kupiga kura, na sababu hasa ni kutokana na wengi wao kutokuwa na vitambulisho vya kupigia kura
 
MM,mwenye jukumu la kupendekeza maboresho ni nani?serikali inayoongozwa na ccm (ambao wameshinda viti vingi) au wapinzani?naona kama unawapa huo mzigo chadema!

Unatakiwa kujiuliza ni nani anayedhurika zaidi na mfumo wa sasa na ni nani anayenufaika zaidi. Ukijua ni nani anadhurika basi huyo ndiye anastahili kupigania haki yake asiendelee kudhurika.
 
Lakini hii haina maana kuwa CDM hai advance inavyotakiwa...Inajitahidi sana lakini katika hali ngumu sana na elimu ya uraia haina zaidi ya miaka miwili napo wengi wa wanaohamasika si stakeholders kwenye huu uchanguzi hivyo kupima mafanikio ya old wine kwenye kkiriba kipya ni too unrealistic..Kunge boreshwa daftari na watu wote wakapiga kura...turn up tungeiona bado mbaya ama kuna badiliko?..Siyo hawa old guys ambao wengi kwanza wamebakizwa katika daftari kwa mbinu chafu na wengi shahada zao waliziuza wakati ule wa ujinga....So haya matokeo kwa upande wa CCM ndiyo ambao unawapa nafasi ya kujipima zaidi kuliko CDM kwani kwa CDM kuna potentials wake wengi ambao wamekuwa excluded.....Na CCM inajua mbinu zake hasa katika muujiza huu wa daftari la mpiga kura and what happened kwa zaidi ya potential voters 50% wakati huo kutopiga kura..Je ni kweli hawakwenda ama kuna mbinu ambayo wao wanaijua ilitumika?

So inshort thats it!

Kwani CDM ilipoenda kwenye hizi chaguzi ilikuwa haijui suala la daftari la wapiga kura?
 
Mzee Mwanakijiji,

Nakubaliana nawe kuwa uboreshwaji wa daftari la wapiga kura ni ISSUE iliyojitokeza sana kwenye chaguzi Ndogo toka 2010 na Hata Nyuma ya hapo BUT je tunaikataa sababu ambayo ni obvious kabisa kwa sababu tu imekuwa ikitokeza Mara kwa Mara AU tungeikataa kwa sababu ilikwisha patiwa ufumbuzi na haipo tena? Sijakuelewa msingi wa kusema sio sababu tena! Eti sio Hoja tena kwasababu eti! Inajirudia rudia! To me that urguement is very incredible sir!

Kama ingekuwa ni sababu kubwa kiasi hicho CDM wasingekuwa wanashiriki hizi chaguzi hadi hili liwe limeshughulikiwa. Kwa kushiriki kwao chaguzi ambazo wanajua kanuni za mchazo wanakuwa wamekubaliana na matokeo ya mchezo utakaoendeshwa na kanuni hizo.
 
Kama CDM ingeshinda kwa asilimia let say 50% kwa muda huu mfupi mfupi basi ujue kabisa dola imedondoka hakuna kitu na nchi ingeingia katika sinto fahamu haraka sana (kitu ambacho nature huwa hairuhusu)......Opinion za watu hata katika biashara hazi change kwa speed ya hivyo ama sivyo kungekuwa hakuna stability...Kuna watu wana itwa innovators, early adopters, adopters na laggers percent kubwa na kuna kuwa na normal distribution kwa maana ya extension ina maana early adopter (huwa 10% mara nyingi) na innovators (5% mara nyingi) wote ambao ni young, educated and economically abled people katika maeneo hayo wameshaikubali CDM..Uzuri wa hao ni ma-extensionist wazuri na hao adopters na laggers wote wanashawishiwa haraka na hilo kundi la mwanzo..So tusiwe ambitious bila sababu hii kwa CDM ni tremendous increase kwa muda waliokua nao tangu uchaguzi.....

Nakubaliana nawe kwa hili lakini wasiwasi wangu ni sehemu ambazo chama kimepeleka nguvu za ziada na kuishia kushindwa. Tatizo kama nilivyolijadilia awali na hata mdau EMT amelijadili pia, chadema wasifikirie mbinu iliyozoeleka ya maandamano na mikutano ya hadhara ndio ufumbuzi, kwani kwa mazingira ya Tanzania kukiwa na cho chote hata kama ni kidege mwitu kadondoka walipo wengi watafurika hapo kana kwamba kimetokea cha ajabu tangu dunia iumbwe, ni ushamba, mshangao na ushabiki tu si ukereketwa.

Wapiga kura wako vijijini, mitaani, kuwa na wimbi la wanamtandao huko la wenye kupora wapiga kura wa CCM wajiunge na kambi ya upinzani. Viongozi wa kitaifa wasidharau baadhi ya malalamiko ambayo hutolewa na baadhi ambao wamekuwa pamoja kikazi kisha kuamua kuondoka, kwa vyo vyote lisemwalo lipo kama halipo laja, na tahadhari ni muhimu. Haya maandamano na mikutano kuvuta wengi yanaweza kuwatia kiwi machoni wakaamini kumbe ni mashabiki wasio wapiga kura. Wasome mwenendo wa upeo na mabadiliko yake na kubuni mbinu kadiri ya mwelekeo wa upepo.
 
If indeed elections were free and fair and reflect wish of the majority then we can conclude beyond reasonable doubt we the people are extremely "sick" people. Salvation tuwategeme politically savvy Wanzazibari.
 
Ndugu yangu Candid Scope,

Hoja ya wapiga kura wale wale Ina mantiki pana sana nadhani unaelewa sample na nature ya wapiga kura wa CCM , kwanza lazima wapewe kitu kidogo, uelewa Mdogo , elimu ya kujitambua na Uraia Ndogo na wamekuwa victim wa mfumo mbovu wa utawala hivyo wamejazwa hofu tupu!kuhusu vyama shindani!

Sasa kwa hali Kama hiyo lazima utengeneze wapiga kura waPya ambao chadema imekwisha watengeneza wa kutosha lakini mfumo huu tulio nao hauwapi chadema nafasi ya kuwatumia wapiga kura wao wapya.
Sio lazima kushawishi wapiga kura wale wale unaweza kutengeneza new political coalition na kushinda uchaguzi Kama mfumo wa uchaguzi sio rigged kama wa kwetu

Nakubaliana nawe kwa hoja hiyo na ni mbinu itumikayo po pote pale duniani kufuafuata wapiga kura walipo isipokuwa kigeni kwa CCM kutumia rushwa.

Marekani walishaanza uchaguzi mkuu tarehe 17 mwezi huu ambao utahitimishwa November 6. Rafiki zangu wameniambia wapiga kura kipindi hiki licha ya mitandao kwa kutumia email, facebook nk, candidates wa urais, congress na local state congress wanawatumia barua wapiga kura kwa njia ya posta kuomba kura na hata kama hawana usafiri wa kwenda kupiga kura wapige simu gari itatumwa kuwapeleka kituoni na kuwarudisha.

Chadema wanatakiwa nyumba kwa nyumba kampeni ya uhakika na kuwa na wapambe wao kila kona huko ambao watawajua na kuwahimiza wapiga kura wao kama CCM ifanyavyo, na kama mataifa hata yaliyoendelea yafanyavyo kama nilivyosema paragraph ya hapo juu.

Maandamano na mikutano ikiisha kila mmoja anasambaa na yake na kubaki hadithi tu za kusimuliana mwonekano wa jukwaani, je wanajua waliokusanyika ni wapiga kura?

Nakubaliana nawe katika hili na Chadema wanatakiwa mara moja kubadili mbinu na kuanza kuwa na mwelekeo kuzama vijijini huko ndiko kwenye hazina ya kura ilikofichika. Unayejinadi tu jukwaani ni tofauti na anayepita nyumba kwa nyumba. Pamoja na kwamba kuna wanaotumia rushwa au hadaa ya kurubuni hati za mpiga kura, kama umeshakuwa na wapiga kura wako utajua nani amepoteza hati yake na nani anayo, lakini kwa jukwaani tu wataishia kushangaa wasiyotegemea.
 
Viongozi wa Chadema hawana mikakati ya kushinda chaguzi ndogo wale. Wanachojua wao ni kwagombanisha wananchi na serikali yao tu na sidhani kama hiyo ni mbinu nzuri ya kukitoa CCM madarakani. Kama wanataka kushinda urais 2015, waache mambo yao ya chuki dhidi ya serikali halafu waanze kuwavuta wananchi.
 
Mwanakijiji,

Ulitaka chadema wafanyeje? Wasusie uchaguzi mpaka hapo daftari litakapo fanyiwa marekebisho? Kwa faida ya nani?

Si lazima wasusie lakini hawajafanya shinikizo lolote la kudai daftari la kura liboreshwe; hakuna jaribio lolote la kuleta mswada wa kufanyia mabadiliko sheria ya uchaguzi; katika mikutano yote ya M4C sikumbuki ni upi ulikuwa unalalamikia daftari la wapiga kura? Na kususia uchaguzi ni njia ya shinikizo. Unaposusia uchaguzi unakuwa umechagua principle. Lakini siyo kususia tu kama kususia lakini unasusia huku unatumia njia nyingine za kuprotest ili kususa kwako kuwe na maana. Siyo unasusa halafu unaenda kulala nyumbani!
 
Back
Top Bottom