ha ha ha, hivi ume note jamaa yupo bare chested wakati mwanamke 'kalala na nguo?'
ana hila nini huyu?!
eti kalala na nguo :frusty:, si unamvua tu kimapenzi akikataa unamuonyesha mkataba wenu :A S-omg: wa kulala kama mlivyozaliwa.
ha ha ha, hivi ume note jamaa yupo bare chested wakati mwanamke 'kalala na nguo?'
ana hila nini huyu?!
kha!!! wewe wa tarime?eti kalala na nguo :frusty:, si unamvua tu kimapenzi akikataa unamuonyesha mkataba wenu :A S-omg: wa kulala kama mlivyozaliwa.
...If walls could talk!....
Picha hii inakupa ujumbe gani?
Nawe badilika unapokuwa 'umelala' na mwenzio!
Tatizo siyo picha halisi.
Haina ujumbe unaotaka kutuambia.
Angalieni, jamaa picha iko vivid, mrembo very bright.(Picha kitanda kimoja haiko hivyo)
Kuna umbali kati ya wawili hao
Haya ya kufikirika siyo vizuri sana kuchangia.
kwanini unatuletea picha za maigizo tuzijadiri, hapa hakuna reality.
kwa mfano wa picha inavyoosha mie naitafsili kama mwanaume kapitiwa usingizi pasipo kumaliza gogoro ndani ya moyo wa mwenza wake .na ndo maana mwanamama hajapata usikuzi akijiuliza kwa nini inakuwa hivyo
Utabadilika vipi naye ukimgusa anakwambia, "Tafadhali naomba usiniguse." halafu anasogea mbali zaidi nawe.
kha!!! wewe wa tarime?
wametibuana awa na bwana he dont mind ila bibie ndo ivyo tena
2.anamuwaza john wake wa zaman
3.anataman a un do ndoa lakin ndo ivyo tena aiwezekan ..she z like..dah ningejua wala nisingekubal ikuish na lijitu ili
uyo kaka kapiga nje tayar so yupo full bt bdada apo wala hana ata substute!:embarrassed1:
...If walls could talk!....
Picha hii inakupa ujumbe gani?
Nawe badilika unapokuwa 'umelala' na mwenzio!
...ha ha ha, Rose wa 1980 mbona u pessimist hivyo?
Mimi naona na ukubwa wa kitanda unachangia hapa,
Kwenye Kitanda cha tatu na nusu kwa sita 'upweke' wa huyo mdada wala usingekuwapo.
Ni kama kaka kagoma kuoga hivi au unanuka pombe!
Mbu mbona kuna njia nyingi tu za kukifanya kitanda kikubwa kuwa hakitoshi??... bi ubunifu tu na utundu ah........ wajifanya hujui kulala kikike mara guu hilo pande ule au ndo wasogeza kigudi mbele kabisa ya mlango wa mbele wa mhshimiwa sana ati.
Jamani muwe na jioni njema kwa wale mlo bongo na wengine kote muwe na happy hours!!
...ha ha ha, Nyadhiwa 'umeua!' ...au inawezekana ni co workers tu hawa, imewabidi ku share chumba!
Huenda bro hapo keshajitahidi ushawishi aaminiwe hatamgusa na joto limemlazimu alale kifua wazi, lakini mdada haamini!
...O la la !!!! ha ha ha, MwanajamiiOne acha utundu. Utawaamsha waliolala! ha ha...
Jioni njema!
Give a guy a break he is jaded from daily challenges...she craves attention and romance but he is readying himself for what tomorrow holds for them..
Oopsiiiii .... s.o.r.r.y eh
Aksante kaka yangu loh umenikumbusha mbali mweeh!!