Tafsiri kwa Picha!

Mbu... huachi asili mkuu, thanks... Naona hivi\

Kwa jamaa

  • he is already satisfied and sleeping, ila sijui kapatia hapo au la
  • he is peaceful and care less about whatever is around
  • he is handsome and well built

For the lady

  • she is cute
  • looks stressed and not happy
  • she could be thinking about something or someone who/which is not there
Overall... Jamaa wanaishi kwenye Porsche life full of bedding proper

Hii ni common scenario hasa kwa sisi watu wa mitungi... dah, nabadilika aisee

hapana jamani, kama kweli ni mke na mme, basi siku hiyo wametingwa, kila mtu na lwake. Lakini pia hicho kisu kinaonekana kutafakari zaidi, namna gani ya kumrudisha mmewe kwenye mchezo. wengi huanza hivyo halafu ngoma inachanganya
 
yumkini ni moja katika scene za filamu...howcome wapigwe picha ktk mkao huo..vipi mpiga picha chumbani katika hali hii,kulikoni binti macho makavu namna hiyo muda huu na why picha ya mwanaume imefifia as if ni ya photoshop?...beside kuna ulazima gani wa kugeukiana kila mara,na thereinafter sioni logic ya km mmoja amechoka kujichekesha tu ili kumwitatain mwenzake/mpiga picha...natafakari
 
Mbu... huachi asili mkuu, thanks... Naona hivi\

Kwa jamaa
  • he is already satisfied and sleeping, ila sijui kapatia hapo au la
  • he is peaceful and care less about whatever is around
  • he is handsome and well built
For the lady
  • she is cute
  • looks stressed and not happy
  • she could be thinking about something or someone who/which is not there
Overall... Jamaa wanaishi kwenye Porsche life full of bedding proper

Hii ni common scenario hasa kwa sisi watu wa mitungi... dah, nabadilika aisee

Hivi watu wa mitungi ndo mkoje aisee? handsome? well built? peaceful? careless? au?
 
*masikini dada wa watu! Hajafikishwa halafu mkaka karidhika kajilakia kwa raha zake

*mdada kafuma text msg ya hawara, hapo anawaza kwa hasira

*kanyimwa?

*jamaa karudi saa tisa usiku analala kama hajui yupo na mke?
 
Communication break down!!!1 this is what married couples should strive to avoid by all means, cos if you have ever heard of Sour life it begins like this and eventually become bitter life
 
inawezkana ndio mara ya kwanza kulala pamoja siunaona dada kalala na nguo zake na kaka kaweka mto wasigusane kama kweli ni wapenzi hakuna mtoto kunasababu ya kulala na gauni bora kanga ntakuelewa,wakati mwingine haya manguo ukilala nayo yanpunguza hisia
 
Jamaa "hajamgonga" nayeye alkuwa anahitaji kigongo, may be jamaa kachoshwa na mikazi ya ofisini, hapo anaugulia temperature! Temparature ikipanda kwa ladies ni noma! hasa.., aah basi tu.
 
inawezkana ndio mara ya kwanza kulala pamoja siunaona dada kalala na nguo zake na kaka kaweka mto wasigusane kama kweli ni wapenzi hakuna mtoto kunasababu ya kulala na gauni bora kanga ntakuelewa,wakati mwingine haya manguo ukilala nayo yanpunguza hisia

N9t dress hazipunguzi hisia weweee, tuuulize sisi tukueleze kazi yake.
 
huyu anawaza kutoroka na kufuata mwingine ndio maana kaanza kuacha hatua, labda kuna ka HausiBoi wake anangoja
 
Anawaza jinsi ya kumuomba hela akanunue ile handbag ya designer aliyoiona ila anaogopa manake juzi tu katoka kupewa hela nyingine.
 
Yap ! Jamaaa katoa doz nene na pia kachoka hivyo kaamua kuwahi kulala ili awahi kuamka. Dada kapata doz nene ila kwa kuwa mchana alilala kwa sasa hana usingiz
 
huyu dada mbu kaa haumwi na 'malaria' basi atakuwa ana stress za kufa mtu.

zile stress za mtu akikutizama tu unaona keshakukera let alone ajaribu kukuzungumzisha au kukugusa.


na mara nyingi stress za hivyo chanzo kinakuwa mtu wa karibu ......(alolala pembeni?)



Exactly, you are right hasa hapo kwenye red
 
Mmmh! Huyu jamaa katoka kulamba baridi na moto... Amerudi yuko swafiii. Kufika kitandani tu kroo kroo kroo.

Bidada yeye alikuwa anamhamu sana mumewe, kamsubiria weeee mpaka amerudi, kwa bahati mbaya ndo ivooo karudi kajichokea ile kuingia tu kwa kitanda anakoroma. Pole mwaya atakupa kesho.
 
Picha ya kwanza, kabla ya kulala kulikuwa na mzozo na ikaonekana wazi kuwa dada alikuwa na makosa hivyo anafikiria kukikucha itakuwaje. Pia inawezekana jamaa liliomba tigo...... sasa dada anawaza na kujiuliza jamaa limejifunzia wapi?
 
B727BC716FD04E47924BEF51C07DD15A.ashx



...If walls could talk!....

Picha hii inakupa ujumbe gani?
Nawe badilika unapokuwa 'umelala' na mwenzio!

WAMETIBUANA HAO TEH! Mke hana hamu na Mume, na Mume pia!
 
Back
Top Bottom