Mbu... huachi asili mkuu, thanks... Naona hivi\
Kwa jamaa
- he is already satisfied and sleeping, ila sijui kapatia hapo au la
- he is peaceful and care less about whatever is around
- he is handsome and well built
For the lady
Overall... Jamaa wanaishi kwenye Porsche life full of bedding proper
- she is cute
- looks stressed and not happy
- she could be thinking about something or someone who/which is not there
Hii ni common scenario hasa kwa sisi watu wa mitungi... dah, nabadilika aisee
dada ana mawazo makali sana kwani jamaa amelala kabla hawajasolve tatizo linalowakabili,kumwamsha anashindwa matokeo yake hapati usingizi kichwa kimetawaliwa na mawazo:embarrassed1:
Mbu... huachi asili mkuu, thanks... Naona hivi\
Kwa jamaa
For the lady
- he is already satisfied and sleeping, ila sijui kapatia hapo au la
- he is peaceful and care less about whatever is around
- he is handsome and well built
Overall... Jamaa wanaishi kwenye Porsche life full of bedding proper
- she is cute
- looks stressed and not happy
- she could be thinking about something or someone who/which is not there
Hii ni common scenario hasa kwa sisi watu wa mitungi... dah, nabadilika aisee
inawezkana ndio mara ya kwanza kulala pamoja siunaona dada kalala na nguo zake na kaka kaweka mto wasigusane kama kweli ni wapenzi hakuna mtoto kunasababu ya kulala na gauni bora kanga ntakuelewa,wakati mwingine haya manguo ukilala nayo yanpunguza hisia
huyu dada mbu kaa haumwi na 'malaria' basi atakuwa ana stress za kufa mtu.
zile stress za mtu akikutizama tu unaona keshakukera let alone ajaribu kukuzungumzisha au kukugusa.
na mara nyingi stress za hivyo chanzo kinakuwa mtu wa karibu ......(alolala pembeni?)
...If walls could talk!....
Picha hii inakupa ujumbe gani?
Nawe badilika unapokuwa 'umelala' na mwenzio!