kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
wenye mewata makubwa, huwa wamepigwa pasi, na wale wenye mewata madogo, wapo mashalaa. Sasa bado sijapata uwiano wake wa tafiti hii ni nini.
Tafiti nyengine, Wanawake wengi ubadili kufuli mbeli ya watoto wao wa kike wenye umri kati ya miaka 3 mpaka 20 bila tatizotofauti kabisa na wanaume ambao awabadili kufuli mbele ya watoto wao wa kiume wa umri huo. Sasa sijui kuna maumbile yenye kutisha na yasio tisha. Bado naendelea na tafiti hii
Tafiti nyengine, Wanawake wengi ubadili kufuli mbeli ya watoto wao wa kike wenye umri kati ya miaka 3 mpaka 20 bila tatizotofauti kabisa na wanaume ambao awabadili kufuli mbele ya watoto wao wa kiume wa umri huo. Sasa sijui kuna maumbile yenye kutisha na yasio tisha. Bado naendelea na tafiti hii