MVUA GAMBA
Senior Member
- Apr 13, 2011
- 102
- 63
Wana Jf Nimekaa na Kufikiri sana Hoja ya wabunge wa CCM wakitetea Posho baada ya Tafakuri nimeweza kufikia katika hii Tamati.
Wabunge wetu wamekua wakituaminisha sisi wananchi wao watatuletea maendeleo,matokeo yake Tukajenga wananchi tegemezi kwa Wabunge ,Wabunge nao wakaamini Fedha Italeta maendeleo wakawa Tegemezi katika Fedha na Fedha hizo hupatikana Kupitia POSHO,SEMINA na WARSHA, kutoka serekalini,Tukajenga BUNGE tegemezi kwa serekali,Baaada ya hapo Serekali nayo ikaamini kuwa ili ilete maendeleo FEDHA ni msingi wa maendeleo kwakuwa fedha haitoshelezi inabidi Kuomba misaada kwa wafadhili Matokeo yake Serekali nayo ni Tegemezi HENCE tumejenga Wananchi tegemezi kwa wabunge,Wabunge Tegemezi ktk Fedha toka serekalini,Serekali tegemezi kutoka Fedha za wafadhili hili litatutesa na litaumiza Taifa letu.
Wabunge wetu wamekua wakituaminisha sisi wananchi wao watatuletea maendeleo,matokeo yake Tukajenga wananchi tegemezi kwa Wabunge ,Wabunge nao wakaamini Fedha Italeta maendeleo wakawa Tegemezi katika Fedha na Fedha hizo hupatikana Kupitia POSHO,SEMINA na WARSHA, kutoka serekalini,Tukajenga BUNGE tegemezi kwa serekali,Baaada ya hapo Serekali nayo ikaamini kuwa ili ilete maendeleo FEDHA ni msingi wa maendeleo kwakuwa fedha haitoshelezi inabidi Kuomba misaada kwa wafadhili Matokeo yake Serekali nayo ni Tegemezi HENCE tumejenga Wananchi tegemezi kwa wabunge,Wabunge Tegemezi ktk Fedha toka serekalini,Serekali tegemezi kutoka Fedha za wafadhili hili litatutesa na litaumiza Taifa letu.