Picha inaonesha;
1) Hapo ni kwake- Picha ya kabatini, taulo/scarf iliopo kwenye kiti, angalia kioo.
2) Ni asubuhi-Mwanga mkali zaidi dirishani.
3) Anatafuta mchumba/mume-Pete kidoleni
4) Anatafuta sehemu ya sehemu ya kwenda/safari/mtoko- Shingo inaonesha amechoshwa, kaboeka.
5) Vazi- Gauni lake ni la kumvutia mtu (evening gown)
6) Mguu kutingisha- Yupo tayari kuondoka (amesha pendeza) lakini hataki kwenda.
Picha inaonesha dada amechoshwa na mtu na hataki kwenda hiyo safari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.