MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
hizi television zetu zina unafiki mwingi sana. Unapomeza media na kuiendesha kama unavyotaka, umeshaliteka taifa. Mdahalo wa Slaa walisema wangeurudia na hata wakatangaza, then wakatuwekea mieleka. Shame on you media. The history will blame you. But not for all, maana wamechagua wale walio wa kwao.What's up with hii kwamba TV zote zimeonesha hii kampeni event ya kilaza Kikwete na wakati walichunia za Slaa (na Lipumba)?
Mkuu hongera sana. picha hii ilichorwa na Gpdfrey Mwampemwa maarufu GADO aliyeko nairobi kenya. Aliichora just a year baada ya kikwete kusworn in.
Mkuu hongera sana. picha hii ilichorwa na Gpdfrey Mwampemwa maarufu GADO aliyeko nairobi kenya. Aliichora just a year baada ya kikwete kusworn in.
ndicho kilichotokea leo kwamba all the media ime-bow mbele yake.
WHAT A SHAME