mi naomba msaada,hivi kwa nini hao NSSF wanataka tukakope bank wakati hela zetu wanazo wao?kwa nini tukalipe riba kule wakati wao hawatupi interest?mi msaada jamani, hapa hesabu inakataaPICHA YA NINI WAKATI HAKUNA MFANYAKAZI ANAE PATA MSHara wa halali aneweza lipa hio pesa interest peke yake ni million 223 jumlisha na mkopo wa m 68 ni m 291 kwa bed room 2 .
unaweza jenga yako kwa m 40 bila mikwaruzo