msemakweli10
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 229
- 46
Wana JF na watanzania wote kwa ujumla heri ya mwaka mpya.
Inasikitisha sana sana pale ambapo nchi ya maziwa na asali kama Tanzania watu wake wanaendelea kutaabika na umaskini.
Watanzania tulikuwa tunasubiri kwa matumaini makubwa upatikanaji wa nishati inayotokana na gesi. Upatikanaji wa gesi ungekuwa ni mbadala wa uharibifu wa mazingira ambapo ukataji miti ovyo ungepungua.
Masikitiko yangu ni kwamba wakati tukielekea kwenye upatikanaji wa nishati hii ya gesi, bei ya gesi imepanda badala ya kushuka ili kuwawezesha wananchi kujipatia nishati hiyo.
Mtungi wa gesi kwa kg 50 ni 63000 badala ya 54000 kama hapo awali.
Je, kwa hali hii, tunaenda wapi? Wewe mwananchi, acha ushabiki usio na tija. Fikiri kabla hujaamua.
Source: Mwananchi Newz Paper
Inasikitisha sana sana pale ambapo nchi ya maziwa na asali kama Tanzania watu wake wanaendelea kutaabika na umaskini.
Watanzania tulikuwa tunasubiri kwa matumaini makubwa upatikanaji wa nishati inayotokana na gesi. Upatikanaji wa gesi ungekuwa ni mbadala wa uharibifu wa mazingira ambapo ukataji miti ovyo ungepungua.
Masikitiko yangu ni kwamba wakati tukielekea kwenye upatikanaji wa nishati hii ya gesi, bei ya gesi imepanda badala ya kushuka ili kuwawezesha wananchi kujipatia nishati hiyo.
Mtungi wa gesi kwa kg 50 ni 63000 badala ya 54000 kama hapo awali.
Je, kwa hali hii, tunaenda wapi? Wewe mwananchi, acha ushabiki usio na tija. Fikiri kabla hujaamua.
Source: Mwananchi Newz Paper