"What makes you rich is what you do after office hours!"
Nimekutana na huu ujumbe ukanipa mawazo sana!
Je, kuna ukweli ndani yake?
Tafakari...chukua hatua.
Alamsik....
mh...una utani na wazee wa kusubiria foleni...corner bar na hongera bar.
dah ni kweli aisee.....
Na najuta kufungua uzi wako..... Nimepata mawazo sana...
After office hours mi nakunywa kwa kwenda mbele. Will that ever make me rich?
after office hrs ukirudi nyumbani na usiende pub una save hela hence havin more money ukienda pub u spend money.. maneno yana ukweli yake...wanawake after office hrs akienda shoppin/salon they spend money...
hapo mtu unajikuta unajituma kuliko hata ile kazi unayofanya ofisini"What makes you rich is what you do after office hours!"
After office hours mi nakunywa kwa kwenda mbele. Will that ever make me rich?
after office hrs ukirudi nyumbani na usiende pub una save hela hence havin more money ukienda pub u spend money.. maneno yana ukweli yake...wanawake after office hrs akienda shoppin/salon they spend money...
Hapana kaka,huyu si mama watoto ila ni mtu ninayemuheshimu kutokana na hiyo profession yake kwani hata mimi nilianzia huko na ndio maana umeona hapo nimetolea mfano wa yale yanayofanyika nje ya masomo ya darasani...