Tafadhari Hii Picha inakupa Mtazamo Gani...?

Boniface Evarist

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
1,147
512
Listen my friend,Never ignore someone who cares for you because someday you'll realize you've lost a diamond while you were busy collecting stones.
attachment.php

watoto.jpg
 
Duh..!!! Nimemkubali dogo picha inajieleza,hapo inaonesha walikuwa wamesimama sehemu bidada akaokota vijiti weeee mpaka kilipoeleweka sasa dogo anamsindikiza kwao na ,kilichobaki ni kifuatacho ITV..
 
Sure positive thinking on kids... umewatendaea haki kwa mtazamo wako Little Angel



Mkuu hilo naomba uliondoe watoto walikuwa zamani tulipokuwa tukiamini kuwa mtoto hawezisema uongo lakini sasa hivi kuna watoto wanafundishwa na hata mahakamani wanatoa ushahidi wa uongo,ukija kwenye suala la kuchafua kitoweo ndio wamefuzu..........
 
Duh..!!! Nimemkubali dogo picha inajieleza,hapo inaonesha walikuwa wamesimama sehemu bidada akaokota vijiti weeee mpaka kilipoeleweka sasa dogo anamsindikiza kwao na ,kilichobaki ni kifuatacho ITV..
Jamani mie naona unawakandamiza toto dogo hizi! hazijui hata kitu about love
 




We kataa tu lakini ndio ukweli wenyewe huu watoto wa siku hizi hawaaminiki,kumbuka tu wakati wetu siku umekosea mama yako anakuuliza unakiri na kuomba msamaha hata ukiadhibiwa unajua kosa lako,lakini hawa wa siku hizi unamuuliza we Juma umedokoa sukari leo anakuambia mama mi wala sijadokoa na ukimtazama mdomo wate umetapakaa chembechembe za sukari,siwalaumu lakini hapa najaribu tu kuwakumbusha wazazi wasiwaamini sana watoto na kuna tabia zinapojitokeza inabidi mtoto atazamwe kwa ukaribu...
 
We kataa tu lakini ndio ukweli wenyewe huu watoto wa siku hizi hawaaminiki,kumbuka tu wakati wetu siku umekosea mama yako anakuuliza unakiri na kuomba msamaha hata ukiadhibiwa unajua kosa lako,lakini hawa wa siku hizi unamuuliza we Juma umedokoa sukari leo anakuambia mama mi wala sijadokoa na ukimtazama mdomo wate umetapakaa chembechembe za sukari,siwalaumu lakini hapa najaribu tu kuwakumbusha wazazi wasiwaamini sana watoto na kuna tabia zinapojitokeza inabidi mtoto atazamwe kwa ukaribu...

Its a fact kuwaamini watoto wanapoanza hivi kwa kizazi cha leo yaweza pelekea shida nakubaliana nawe japo muda mwingine sivyo ni upendo wa kirafiki usiowaza dhambi na hawaijui dhambi kabisa!
 
Back
Top Bottom