KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
WanaJF wenzangu kati ya chaneli ninazozipenda kuziangali ni STAR TV na ITV na sehemu waliyoifanya vizuri hadi nimewakubali ITV ambayo STAR TV wanatakiwa na wao waige ni kuunganisha vipindi kama marumbano ya hoja kusikika moja kwa moja kwenye redio one na capital redio,hivyo nawaomba star tv waige hilo ili kile kipindi cha tuongee asubuhi na midahalo iwe inasikika moja kwa moja kwenye redio ya RFA maana wasikilizaji wengi wako vijijini na huko ndiko mabadiliko yanakotakiwa yawafikie na elimu pia.