jamani mbona mie nimekua admitted hapo sua lakini jina langu halionekani kwenye website ya sua,au tcu ilikua danganya toto?tafadhali wale wanaojua lolote tutoane wasiwasi
Kuna wenzako wengi wenye tatizo kama lako na waliomba msaada direct to tcu wakaambiwa majina yatakua updated vyuoni wakisha publish majina yote officially kwahiyo usiwe na wasiwasi
Kuna wenzako wengi wenye tatizo kama lako na waliomba msaada direct to tcu wakaambiwa majina yatakua updated vyuoni wakisha publish majina yote officially kwahiyo usiwe na wasiwasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.