tafadhali wale tuliochguliwa kwenda sua tukutane!

makferoo

Member
Aug 22, 2012
7
2
jamani mbona mie nimekua admitted hapo sua lakini jina langu halionekani kwenye website ya sua,au tcu ilikua danganya toto?tafadhali wale wanaojua lolote tutoane wasiwasi
 
Kuna wenzako wengi wenye tatizo kama lako na waliomba msaada direct to tcu wakaambiwa majina yatakua updated vyuoni wakisha publish majina yote officially kwahiyo usiwe na wasiwasi
 
Back
Top Bottom