niaje waungwana? Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali hapa jf. Hii forum naikubali sana kwani ni ya ukwe-eh 7bu robo ya siku huwa najikuta nakuwepo hapa maana hapa huwa naamini ni stress free zone. Ila kuna baadhi ya thread na reply huwa sizipendi kabisa kama zile zinazohusu maswala ya udini. Wewe ni muislamu kwa 7babu ulizaliwa ukakuta wazazi wako ni waislamu na mwingine ni mkiristo kwa sbb ulizaliwa ukawakuta wazazi wako hivo, ni wachache wanaosoma wakatambua dini ni ipi ya haki au vipi!! Mi nashauri maswala ya udini tuachane nayo kwa sbb hapa duniani tunapita tu, wengine familia zetu tumemix dini tena ndugu wa tumbo moja kwahiyo huwa tunakawzika. Sawa?? Sawa!!!!!!! Haya!!!!!