payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Laiti ningekuwa najua ni aina gani ya samaki walioingizwa nchini kuoka japani ningekuambia usiwale hao samaki kwa mwaka mzima. Na ninasababu za msingi za kukuambia hivyo.
Serikali ya JK sio makini, imejaa watu walafi ambao hawaoni shida kutengeneza faida kwa kuwatoa kafara watanzania wenzao. Wanaweza hata kubadili makontena, yale yenye samaki walio na mionzi ya nyuklia yakaingia sokoni na ya dagaa kutoka kigoma yakaletwa.
Ushauri wangu ndo huo, CCM hawaaminiki hata chembe.
Serikali ya JK sio makini, imejaa watu walafi ambao hawaoni shida kutengeneza faida kwa kuwatoa kafara watanzania wenzao. Wanaweza hata kubadili makontena, yale yenye samaki walio na mionzi ya nyuklia yakaingia sokoni na ya dagaa kutoka kigoma yakaletwa.
Ushauri wangu ndo huo, CCM hawaaminiki hata chembe.