Tafadhali Rose anahitaji mawazo yako!!..

&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Yes!She is my friend!Lakini unavyodai aachie ngazi is not that simple,bora ingekua walipokua na wiki na hakukua na kitu chochote kilicho take place!Fikiria ndoa ni few days ahead!
<br />
<br />

Kwa nini alisubiri mpaka ndoa itangazwe ndo aombe ushauri, then if it's too late tunajadili nini hapa?
 
mkuu unajua hapa ni mahali pa heshima sana,usifikiri kwa sababu hujulikani unaleta kila upuuzi hapa,jaribu kufikiria kabda hujainamisha kichwa chako kutuma post hapa,sio fresh na sijapenda hii
<br />
<br />
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa director nimecheka sana mzee
 
mwambie huyo dem;mdada i mean huyo rose aokoke japo ataendelea kukazwa nyuma lakini kadri atakavyozidi kujiweka karibu na Mungu huo ushetani utaondoka katika nafsi yake {its a long process} na yeye pia ni lazima awe ameweka nia ya kuacha tabia hiyo

Maneno ya kumfariji:kama kuna mashoga (Ambao kiuhalisia wana tundu moja tu hawana alternatives na wameweza kuacha hako ka mchezo ka laana,sembuse yeye mwenye two alternatives)
 
Yes!She is my friend!Lakini unavyodai aachie ngazi is not that simple,bora ingekua walipokua na wiki na hakukua na kitu chochote kilicho take place!Fikiria ndoa ni few days ahead!
sio kweli hawezi kuacha,mi namfahamu msichana mmoja mwenyeji wa Tanga ambaye alikuwa 'addicted' na mchezo huu zaidi ya miaka 5 na sasa kaacha kabisa na anatarajiwa kuolewa hivi karibuni na mchumba anafahamu tatizo na amekuwa msaada mkubwa kwake kwa kumwambia kampenda na yaliyopita hajali na huyu sista kafarijika sana na anakwambia zaidi ya mwaka hajafanya na hataki kusikia tena.Anasema mwanzo ilikuwa ngumu sana yaani mwezi wa kwanza baada ya kuacha lakini akazoea.
Inawezekana na inataka maamuzi magumu na uelewa na faraja kutoka kwa wanaomzunguka kama wewe na huyo mchumbake.
 
Hzo ni starehe za mwili'hyo jamaa anajidai hapendi hzo mambo watamkanyagia kinyume na maumbile mpaka apagawe'mtoto anataka satisifaction sasa mwache kaka ajidai hapendi hzo mambo!!.
 
mkuu unajua hapa ni mahali pa heshima sana,usifikiri kwa sababu hujulikani unaleta kila upuuzi hapa,jaribu kufikiria kabda hujainamisha kichwa chako kutuma post hapa,sio fresh na sijapenda hii
<br />
<br />
Naoxa wewe ungekuwa Daktari ungefukuza wagonjwa wanaokuja na vidonda vinavyonuka huku wamesindikizwa na kundi la inzi! Ungewaambia hospitali panahitaji usafi na hewa nzuri si mahali pa watu kama nyie mnaojaza mainzi hapa!
 
duniani kuna mengi mpe pole ukizoea kuchovywa au kuchovya huwezi acha dada huyu aache hii ni hatarisana kwake na hata kwa mme wake atakaye muoa
 
Kweli kabisa roho ya ulawiti ni mtaji wa shetani..hatarii..roho hii huambukiza(sodoma&gomora alianza m1 then..wengi) sasa sijui huyu mshauri wa Rose(EIYER) ana kingaa? Eiyer kaa mbali kaka, usijejikuta wampa ushauri na huduma pamoja!
mwambie rose amkabithi Bwana Yesu maisha na Tamaa za mwili zitakoma.Unajua kuna mapepo huwa yanasimamia hayo mambo ndio maana wakati mwingine kuchomoka na nguvu zako binafsi inakuwa ngumu.
<br />
<br />
 
Eiyer,jaribu kumshauri huyu Rose aokoke kwani huo ndio utakaokua mwisho wa tatizo lake na hii na roho ya ushetani inamwandama,cha msingi ajikite bize na Mungu hakika tatizo lake litakwisha kabisa kwa kumpokea Yesu kua mwokozi wa maisha yake
 
Naz Rose anafanya biashara ya nguo za spesho na hua anazifuata mwenyewe China,mchumba wake ni mhasibu stanbic bank,huyo mchumba wake namfahamu na huwa napiga nae story mara kwa mara lakini nilikua sijui hili tatizo!

Awali ya yote jitahidi kufahamu kwamba kumshauri mpiga punyeto aache kupiga punyeto wakati anaishi peke yake ni jambo gumu sana. Hii ni kv, kila atakapopata matamanio ya kimwili; atakachokifikiria ni kile kilichopo jirani yake ambacho kitamtosheleza matamanio yake. Na kv yupo single; suluhisho kwake nio punyeto kv ndio njia inayomtolea haja yake. Lakini mtu kama huyu angekuwa anaishi na mwenza, basi anapopata tamaa hizo angeanza kwa mwenza wake kv ndie aliye jirani na yeye na hata kama wakati mwingine atakuwa anapiga punyeto wakati anaishi na mwenza; basi itakuwa ni katka hali ya kukumbushia tu; hali ambayo itakuwa inapungua kadri muda unavyoenda!

Rose amekuwa addicted na mapenzi kinyume na maumbile. Tatizo hili linachangiwa zaidi na yeye kuishi peke yake na msimamo wa mchumba wake wa kutotaka kushiriki tendo la ndoa. Kwavile Rose anaishi peke yake, basi kila anapopata matamanio ya kimwili anajikuta akijitosheleza kwa njia ile aliyoizoea ambayo ni mapenzi kinyume na maumbile! Endapo angekuwa anaishi na mwenza wake, basi bila shaka pale anapopata matamanio ya kimwili angekuwa anatoshelezwa na mwenza wake kwa njia iliyo halali. Na hata pale ambapo angekuja kupotoka na kufanyiwa mchezo aliouzoea, ingekuwa ni ktk hali ya kukumbushia tu; hali ambayo ingekuwa inapungua kadri muda unavyoenda. Usitoshe, asingeweza kuwa na muda wa kutosha wa kupata mtu wa kumfanyia mchezo aliouzoea kv muda anaokuwa “loose” ambao mara nyingi ni ucku na mwisho wa wiki; angekuwa na mwenza wake!

Kutokana na maelezo hayo hapo juu; tumia mazoea yako na mchumba wa Rose kumshawishi afunge ndoa na Rose mapema iwezekanavyo. Anza kwanza kumjenga kisaikolojia ili kumuonesha umuhimu wa kufunga ndoa mapema. Mwambie ni jinsi gani Rose anashindwa kumwambia jinsi alivyo depressed na maisha ya upweke. Na akibidi Rose nae amwandae mchumba wake kwa kujionesha ni jinsi gani alivyo-depressed na maisha ya upweke.Anaweza kuanza tabia (ya kuigiza) ya kuonesha unyonge kila wakati pindi wanapokutana. Hata hivyo, kila atakapoonesha tabia hiyo ngeni, akiulizwa na mchumba wake aseme, “yupo sawa, hana tatizo lolote!” Lakini hata baada ya majibu hayo, bado aendelee kuonesha tabia hiyo ngeni kwa mchumba wake!
Hali hii ikiendelea kwa angalau juma moja; bila shaka mchumba wa Rose atataka zaidi kufahamu kinachomsumbua mchumba wake. Kwavile kila anapomuuliza Rose, jibu linakuwa yupo ok, asiwe na hofu hapo lazima atataka kufahamu kutoka kwa watu wa karibu na Rose. Kwavile wewe upo karibu na Rose, bila shaka anaweza kukuuliza nini kinachomsumbua rafiki yako! Tumia nafasi hiyo vizuri. Mwambie ni kweli hata wewe tabia hiyo umeiona lakini kila ulipomuuliza na wewe alikuwa anakuficha hadi pale siku moja alipoamua kukuambia ukweli. Mwambie baada ya kufahamu kinachomsumbua Rose; ulimshauri (Rose) amwambie mchumba wake lakini akakataa katakata na kutishia endapo wewe mtoa mada utamwambia mchumba wa Rose basi Rose asingekusamehe kwa kosa hilo. Ili asihisi chochote, mwambie mchumba wa Rose kwamba umeamua kumwambia hayo kv ameona mwisho wake unaweza kuwa mbaya endapo ungeendelea kukaa na siri hiyo. Hata hivyo, jifanye kumuonya asimwambie Rose kwamba umeitoa siri hiyo kwake kv unaogopa atakuchukia. Ni matumaini yangu kwamba, baada ya kufahamu hayo huenda mchumba wa Rose aka-speed up mambo yao towards kuishi pamoja.

Pamoja na hayo, nature ya biashara ya Rose ni ile inayohitaji wafanyakazi wa kumsaidia. Kama ana wafanyakazi wa kiume, basi ahakikishe ni wale ambao hawezi kiwafikiria kufanya nao chochote! Hii ni muhimu sana kv hata kama ataishi na mume wake basi anaweza kutaka kukumbushia na wanaume walio jirani na yeye kv wa mbali itakuwa ngumu kv yupo close na mr. Kama ana wafanyakazi wa kiume ambao hana restriction nao kwa masuala ya mapenzi ( i mean kama ni wakubwa na sio ndugu) basi atafute namna ya kuwaondoa.Hata nyumbani, asithubutu kuwa na mfanyakazi wa kiume mwenye sifa nilizozieleza hapo juu.

In addition to this, kama ana tabia ya kusoma majarida na vitabu vya mapenzi basi aache tabia hiyo mara moja. Aidha, aache vilevile kusoma magazeti ya udaku kama anayo tabia. Vitu hivyo vitakuwa vinamletea mihemuko ya kimwili na kv yupo peke yake basi atatafuta wale wanaomuondolea shida yake. Vilevile, aachane na kuangalia DVD pamoja na vipindi vya TV hususani zile za kulipia ambazo zinakuwa na vipindi/filamu za kuhamisisha ngono! Kama ana decoder, mwambie akupe wewe rafiki yake ambae unajua ni kwanini anakupa! Akiipeleka tuseme!labda kwa ndugu yake; ipo siku ataifuata kv atakuwa amezi-miss catalysts! zake

 
sio kweli hawezi kuacha,mi namfahamu msichana mmoja mwenyeji wa Tanga ambaye alikuwa 'addicted' na mchezo huu zaidi ya miaka 5 na sasa kaacha kabisa na anatarajiwa kuolewa hivi karibuni na mchumba anafahamu tatizo na amekuwa msaada mkubwa kwake kwa kumwambia kampenda na yaliyopita hajali na huyu sista kafarijika sana na anakwambia zaidi ya mwaka hajafanya na hataki kusikia tena.Anasema mwanzo ilikuwa ngumu sana yaani mwezi wa kwanza baada ya kuacha lakini akazoea.<br />
Inawezekana na inataka maamuzi magumu na uelewa na faraja kutoka kwa wanaomzunguka kama wewe na huyo mchumbake.
<br />
<br />
Mkuu kwanza mambo vipi?Halafu nilivyosema kuacha sio rahisi nilimaanisha ndoa sio hiyo kitu,dada Asha D ndo alikuwa ametoa wazo la kuachana!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Kwa nini alisubiri mpaka ndoa itangazwe ndo aombe ushauri, then if it's too late tunajadili nini hapa?
<br />
<br />
Tunajaribu kuona kama tunaweza kusaidia,dada Rose alikua hajui msimamo wa jamaa alikuwa anahisi ni porojo tu akastuka jamaa hata kudo hataki,je kurukwa ukuta?Ndo hofu ikaanzia hapo!
 
mwambie huyo dem;mdada i mean huyo rose aokoke japo ataendelea kukazwa nyuma lakini kadri atakavyozidi kujiweka karibu na Mungu huo ushetani utaondoka katika nafsi yake {its a long process} na yeye pia ni lazima awe ameweka nia ya kuacha tabia hiyo<br />
<br />
Maneno ya kumfariji:kama kuna mashoga (Ambao kiuhalisia wana tundu moja tu hawana alternatives na wameweza kuacha hako ka mchezo ka laana,sembuse yeye mwenye two alternatives)
<br />
<br />
Tatizo ni nani atakaekua anatoa hiyo huduma?Maana mume wake mtarajiwa anaweza kukataa!
 
Kweli kabisa roho ya ulawiti ni mtaji wa shetani..hatarii..roho hii huambukiza(sodoma&amp;gomora alianza m1 then..wengi) sasa sijui huyu mshauri wa Rose(EIYER) ana kingaa? Eiyer kaa mbali kaka, usijejikuta wampa ushauri na huduma pamoja!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Usijali hilo haliwezi kutokea!Nitatoa ushauri tu!
 
Nas asante kwa ushauri,nitaufanyia kazi kwa mhusika!
 
Eiyer,jaribu kumshauri huyu Rose aokoke kwani huo ndio utakaokua mwisho wa tatizo lake na hii na roho ya ushetani inamwandama,cha msingi ajikite bize na Mungu hakika tatizo lake litakwisha kabisa kwa kumpokea Yesu kua mwokozi wa maisha yake

mshauri aachane na hayo mambo kutokana na situation yake kuliko kumwambia kuokoka pekee ndio njia mwafaka kv kuna wengine ingawaje wanafanya mambo machafu bado wapo firm na imani HAKUNA dini inayoruhusu ulawiti hivyo anawezakumrejea huyo mungu wake anayemuamini sasa na bado akaacha bila kuokoka! By the way, hakuna dini au dhehebu hata moja duniani lililofanikiwa kuondokana na uchafu wa shetani, kinachotusaidia ni kwamba baadhi dini zetu hazijali hata zikiona tunafanya ushetani hadharani na wengine wanaziheshimu dini zao kufanya uchafu hadharani na hivyo kuamua kufanya gizani.
 
hili tatizo ni kubwa mno siku hizi...
dunia ya siku hizi na ile ya zamani ni tofauti kabisa
 
Nilimfahamu mwaka 2000,wakati huo wote tulikua waajiriwa wa kampuni moja ya kusafirisha mafuta,kwa sasa ni mfanyabiashara binafsi na ni rafiki yangu,aliniambia tatizo lake kama ifuatavyo;ana mchumba ambae wanapendana sana na wapo kwenye uchumba kwa miezi 8!Mchumba wake ni mtu wa msimamo na anajiamini na anamaanisha anachosema,hawajashiriki tendo la ndoa coz mchumba amesema mpaka watakapofunga harusi!Rose ana miaka 28 na mchumba wake ana miaka 35,tatizo linalomsumbua Rose ni kuwa katika mahusiano yake ya nyuma alikua anafanya mapenzi kinyume na maumbile mpaka amekua "addicted"!Kwa muda wa miezi yote 8 ya uchumba amekua akiwanunua vijana ili wampatie huduma hiyo!Kitendo hicho kinamuumiza sana kwani hapendi kumsaliti mchumba wake kwani mchumba wake amekua akionesha dalili zote za uaminifu!Mahari ameshatoa,vikao vya harusi vinaendelea na pia nyumba yao wanayojenga pamoja iko kwenye lenta!Tatizo lingine kubwa ni mchumba wake amekua akisema namna anavyochukia tabia ya watu wanaojamiiana kinyume na maumbile na hawapendi sana watu hao bila kujali jinsia zao!Rose hana raha,amechanganyikiwa,anampenda mchumba but kuacha tabia hiyo ameshindwa,kumwambia ukweli anaogopa kuachwa!Tafadhali msaidie mawazo!

Mkuu hili ni jukwaa la MMU, kama unaleta udaku nadhani kuna sijui anti nani kwenye magazeti ya sani, uwazi na ijumaa utawakuta huko, watakupa ushauri mzuri tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom