Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,075
Hii ni kwa ajili ya Sangarara na magenius wengine wa Math.
Tafadhli naomba njia kupata value ya 'Y"
Hii ni kwa ajili ya Sangarara na magenius wengine wa Math.
Tafadhli naomba njia kupata value ya 'Y"
Hii nilisha wahi isovugi zamani,,lakini mpaka leo sijawahi kui-apply katika maisha ya kawaida ya kutafuta hela.
as soon as ukinipa value ya Y hapa ntakupa jibu. X+Y+Z=5!! Hiyo ni too general kiongoz, hiyo U could be any function of X and Y and lead to zero. So its difficult if not impossible to get a value of Y from what you have written
'Y' hapo haina Value yeyote we jaribu kutumia akili bana kama 'Y' imechanganywa na 'X' na dx kama mbili hivi lakini thamani yake ni=0, je ikiwa 'Y' peke yake si ndiyo balaa zaidi?
Hii ni kwa ajili ya Sangarara na magenius wengine wa Math.
Tafadhli naomba njia kupata value ya 'Y"
gawanya kwa 2,halafu zidisha mara 100 kila upande.
Hii ni kwa ajili ya Sangarara na magenius wengine wa Math.
Tafadhli naomba njia kupata value ya 'Y"
aaah??! kaka. si chemsha bongo tu kusaidiana...?. Em nambie sasa unaanza kufactor nini hapo.
Hutaitumia kuchukulia hela kwenye ATM.
Hapo ni partial derivative of values (X, Y) of function Z.
So function Z =fx can be anything... Unachoweza fanya ni kutafuta guess work on the function then integrate it. Then you have Z =C.
Hutaitumia kuchukulia hela kwenye ATM.
There is nothing to do there na huwezi kupewa swali km hilo maana halina maana yoyote, labda km kulikuwa na other derivatives ambazo ziliambatanishwa na hiyo equation
yaani hapo ni sana na kusema x + y=2 alafu umwambie mtu akusaidie kupata value ya y