Tafadhali ninaomba msaada!

Elai

Senior Member
May 26, 2011
154
9
Kila ninapowasha komputer,inapo-boot antivirus inaniletea ujumbe wenye options zifuatazo:-open in sandbox,open nomally,cancel. Nilipofuatilia file husika ni; C:Windows/system32/Wusa32.exe. Kwa hiyo ni kitu gani na nifanye nini?
 
Kila ninapowasha komputer,inapo-boot antivirus inaniletea ujumbe wenye options zifuatazo:-open in sandbox,open nomally,cancel. Nilipofuatilia file husika ni; C:Windows/system32/Wusa32.exe. Kwa hiyo ni kitu gani na nifanye nini?

kutokana na maelezo yako inaelekea wewe unatumia avast antivirus. Usiogope sana kijana, hiyo ni defense system ambayo husaidia kuiprotect computer yako isiwe harmed na potential unwanted program-PUP. Kwa hiyo yenyewe ikidetect kuwa kuna program ambayo unaifungua lakini inahisi kuwa italeta madhara katika computer yako basi itakupa option kama hiyo either to open it in sandbox or normally. So there is nothing to worry about.
 
Kila ninapowasha komputer,inapo-boot antivirus inaniletea ujumbe wenye options zifuatazo:-open in sandbox,open nomally,cancel. Nilipofuatilia file husika ni; C:Windows/system32/Wusa32.exe. Kwa hiyo ni kitu gani na nifanye nini?

  • Google wusa32.exe.
  • kiwezeana lifute au kuw asafe zaidi isufte vya maana liweke kwenye chest ya antivistu kabla ya udelete then restatart mashine mashine uone . Liache kwenye cest wiki nzima kama mshine haitasumbua kitu basi ujue ni kirusi
 
  • Google wusa32.exe.
  • kiwezeana lifute au kuw asafe zaidi isufte vya maana liweke kwenye chest ya antivistu kabla ya udelete then restatart mashine mashine uone . Liache kwenye cest wiki nzima kama mshine haitasumbua kitu basi ujue ni kirusi
good idea!!!
 
Back
Top Bottom