Tafadhali naomba kufahamu kama eid-el-fitr ni kesho ijumaa

shiumiti

JF-Expert Member
Jun 4, 2009
435
19

Kwa kifupi wanajamii naomba kujua na kufahamu kama sikukuu ya EID EL FITR ni kesho Ijumaa ili niweze kujipanga vizuri kusherehekea
 
Kwa Mujibu wa ufafanuzi wa Sheikh Mkuu alioutoa jana.. Mwezi unabashiriwa kuandama leo jioni na hivyo kesho itakuwa siku ya IDD. Hata hivyo amesema iwapo mwezi hautaandama ( ingawa amesema kuna uwezeakano mkubwa wa kuandamama leo siku ya 29 kwa vile mwaka jana uliandama siku ya 30ya mfungo). Waumini wataendelea na swaumu kesho ili kukamilisha siku 30 za mfungo ambazo hata km mwezi hautaandama baada ya siku 30 watu wataadhimisha Id el fitri km kawaida.
 
Hizi sherehe zinazoamuliwa na mwezi bana zinaudhi, leo mi nilijua ni mapunziko ya EID kumbe hamna kitu, anyway ngoja tulijenge taifa la "WADANGANYIKA"
 
Nimewahi pewa adhabu shule enzi hizo kwa vile nilidhani ni sikukuu.....Tatizo hata mkulima hakuwepo siku hizo...
 
Pacific Asia + bahrain saud ARABIA .... tumekamilisha 30 leo jana hatukuona mwez!! Ofcoz bakwata leo lazima waone sababu 30 zishakamilika EAD ni ijumaa

ead njema!
 
Ukujua km ni kesho uniambie na mimi niongeze kilo za kitimoto kwani wateja wangu wengi watakuwa wamefungulia.............
 
Ukujua km ni kesho uniambie na mimi niongeze kilo za kitimoto kwani wateja wangu wengi watakuwa wamefungulia.............

Wteja wako wakirudi waambie wamishinda na njaa tu hawajafunga! kwani lengo kuu la mfungo ni kumuweka muumini sawa kiimani. kwa hiyo wape ushauri wasijisumbuwe tena kukaa na njaa:becky:
 
Eid Mubarak wana JF karibuni kwangu Chamanzi kuna ubeche na madikodiko mengi tu .Wote mnakaribishwa.PM me kama unataka kujongea kwa eneo la tukio
 
kwa mapenzi na furaha,JF mimi nawapa mkono wa Iddiiii! Eid Mubarak kwa wote waumini wa dini ya kiislamu na wengineo wanaojumuika nao.
 
Back
Top Bottom