MESSI
Member
- Apr 3, 2011
- 38
- 2
Kwanza napenda kuwashukuru wanaJF kwa jinsi mnavyosaidia kuijenga jamii yetu.
Mimi ni mwanaume nimekuwa nikisumbuliwa tatizo la kuwahi kumaliza kila ninapofanya mapenzi na GF wangu tatizo linanikera sana naomba mnisaidie jinsi gani ya kulitatua na pia kuna wakati japo sio mara kwa mara uume huwa hausimami na kuwa firm kabisa unakua ka unalegea ivi nisaidieni jinsi ya kutatua hilo pia.
Mimi ni mwanaume nimekuwa nikisumbuliwa tatizo la kuwahi kumaliza kila ninapofanya mapenzi na GF wangu tatizo linanikera sana naomba mnisaidie jinsi gani ya kulitatua na pia kuna wakati japo sio mara kwa mara uume huwa hausimami na kuwa firm kabisa unakua ka unalegea ivi nisaidieni jinsi ya kutatua hilo pia.