<br /><br /><br />
<br /><br />
It wasnt so necessary to say that!
<br />Kwa hiyo dini nyingine tusimsaidie? crap!!
kuwa na busara,si kila jambo ni udini udini tu,ni suala la ubinadamu na usamaria wema, msaada wa dhati na wenye thawabu kubwa ni ule unaotolewa bila ubaguzi wa aina yeyote ile na bila kuangalia makosa au matendo ya nyuma aliyofanya anayehitaji msaada! huo ndo upendo wa ki-Ungu, maana hata wale wasiomuabudu hata kumuamini huwapa riziki ila siku ya kiama ndo watapata adhabu yao!Waislam, msaidieni ndugu yenu.
<br />Sasa mkuu, ukiyajuwa yote hayo ndio utamsaidia au utasema kuwa haliyataka mwenyewe?
<br />Chuki zako zinakufanya uonekane mzee wa miaka mia, wakati ndio kwanza upo 40's.