kina nanii wamezoea kukata mapanga,kuchinja,na kutega ajari,mawazo ya mtu yanaheshimiwa,na mkipayuka,au kukulupuka mnawapa nguvu wanawaita wadhaifu,hasa kwa wewe uliyetangaza vita binafsi na mnyikakwa taarifa yako hujatangaza vita na mnyika,ila umetangaza vita na sauti ya uma.