mwanaume anaehesabia hela kwenye wallet sio kabisa..
mwanaume wa ukweli anaweka wallet mezani anakwambia hesabu za matumizi baibi wangu au anakupa card yake ukatoe kiasi chako cha matumizi ....
nyie mnaombwa vocha tu mnalia huku mtafika kweli?
Document kwanza M,zigo Baadae, umesahau kauli mbiu ya mamlaka ya bandari?
Tatizo siyo kwenda DUBAI tatizo kitakachonipeleka huko kinathamani hiyo?(value for money)Ni defensive mechanism pia. Mie nimejiwekea std kama ni ngono shurti tukakutane dubai, kama una maongezi na mie any 5* hotel will do na ni dinner hapo. Inapunguza candidates na ushawishi. Mwanaume anajitambulisha kwa majukumu atii!
mwanamme bahili ....mimi never..
raha ya kuwa na mwanaume ni awe anajua kukucare bwana ....
mimi hata kama nina hela mwanaume anependa kunisaidia i realy appreciate him ..huyo ndo mwanaume..
sio mtu una mwanaume unataka kwenda saluni huna hela hadi uzunguke kwa mashosti wote mjini kukopa..kwanza huyo mwanaume wako si ataaibika jamani?
wanaume acheni ubahili na uchoyo ,ni dhambi kwanza..
Tena wao mnapokutana huwa hawaweki hata senti kwa pochi, hata akitaka kupiga simu anatumia simu yako!
Heheheheeeee!!!!!
Yaani nyie pochi zenu mzifiche ndaniaya sidiria isipokuwa sisi tuweke WAllet juu ya meza!!!!!
Hatari hiyo
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
dia nitumie basi laki 2Aikka Smile naona umemaliza kazi.Mwanaume kukea bana...Usione vyapendeza vimegharamiwa bwana.
dia nitumie basi laki 2
Document kwanza M,zigo Baadae, umesahau kauli mbiu ya mamlaka ya bandari?
Tatizo siyo kwenda DUBAI tatizo kitakachonipeleka huko kinathamani hiyo?(value for money)
mwanaume anayehonga hana vina vya kutosha
Ndugu zangu hapa jamvini naamini mko wazima kabisa! Kuna tabia ya kina dada ambayo inanichosha mno ya INVOICE. Nadhani kwa vijana wengi wa mjini hiyo term "INVOICE" imekuwa maarufu sana. Ukimtokea binti pengine siku hiyo hiyo unaombwa laki, mara nitumie vocha yaani ni kero tupu.
Nanyi ndugu zangu hapa jamvini yanawakuta hayo? Maana mabinti wamekuwa wasaka hela kwa style hiyo. Manake Binti kwa siku moja huenda anakusanya hela kwa watu hata wanne.
HAPENDWI MTU HAPPA YAPENDWA POCHI LOL..... haaa wrong comment kumbe wanaume tu... sory mleta uzi!
hawa ndio wanaopataga ukimwi kwa kupenda vitu chee!sh**zi!Unahongwa na una**ngwa na virus juu!