NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
Jaman waheshmwa hatuombei ila 2angalie mbele kidogo
hvi hawa al-shabaab wakija Tanzania itakuwaje,
mimi binafsi nadhani ili kuokoa damu ya watanzania 2waombe mazungumzo kwani hata 2kisema tupambane nao 2tainga hasara kwakupoteza raia wakati wakuu wanch wakilindwa,
co kuwa naogopa ila 2jarbu kuangalia upande wa pl wa shlng,jaman vlevle nackia et kenya wanataka kupambana nao mi naamin wataisha kuuwa wananch waco na hatia kwan hawa al-sb hawana alama hvo watakuwa wanahc
JE AL-SHABAAB WAKJA tz WE UNASHAUR NN?
hvi hawa al-shabaab wakija Tanzania itakuwaje,
mimi binafsi nadhani ili kuokoa damu ya watanzania 2waombe mazungumzo kwani hata 2kisema tupambane nao 2tainga hasara kwakupoteza raia wakati wakuu wanch wakilindwa,
co kuwa naogopa ila 2jarbu kuangalia upande wa pl wa shlng,jaman vlevle nackia et kenya wanataka kupambana nao mi naamin wataisha kuuwa wananch waco na hatia kwan hawa al-sb hawana alama hvo watakuwa wanahc
JE AL-SHABAAB WAKJA tz WE UNASHAUR NN?