Jerry de Marco
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 213
- 41
Za jion wana Jf bila mu wazima,tumbo limekuwa likinisumbua dawa nimekunywa lakini shida iliyopo linakuwa linaunguruma kidogo na choo napata kwa shida sana na hapo ni mpaka nijilazimishe lakini kinakuwa si kizuri, wenu ushauri naomben ili niondokane na hii hali.