Tabora yangu Tabora

Mpevu

JF-Expert Member
Nov 23, 2010
1,805
173
Mji wangu mkongwe wa Tabora,
Wewe ndio chimbuko la vuguvugu la uhuru wa Tanganyika,
Ndio mji mkubwa wa kwanza hapa Tanganyika enzi za ukoloni,
Leo umesahaulika mkoa wangu Tabora,
Sijui ni nani amekupoteza Tabora yangu,
Umezalisha wasomi na wazalendo wengi Tabora yangu,
Hukujipendelea kwa kujipendelea mkoa wangu Tabora,
Leo unaonekana ni mkoa ulio mwishoni kabisa,
Hata sherehe za miaka 50 hujakumbukwa na kupewa nishani kwa harakati zako Tabora,
Akina Fundikira na Kasangatumbo walikiona cha moto japo walipigania uhuru,
Tabora mji wangu wee...leo umebakiwa ni magofu,
Utalii haushamiri, japo fursa za historia zipo,
NANI KAKUPOTEZA TABORA WANGU,
Umezalisha viongozi lukuki, lakini wamekusahau Tabora,
Leo miundombinu hafifu, shauri ya kukuikomboa Tanganyika,
Nani atakukumbuka Tabora, iwapo hata nishani za uhuru hukupata,
Umejaaliwa ardhi rutuba, misitu na wanyama pori,
Wajanja wanakutafuna Tabora, na kukuachia jangwa bila maendeleo
AMKA TABORA AMKA, NAWE UONJE KEKI YA TAIFA.
Umeibeba historia ya nchi, lakini miaka 50 huthaminiwi.
Umeletewa Sanamu, na uwanja wa mpira usiokamilika,
Barabara hazipitiki, ndio leo wanaamka kukutengenezea barabara baada ya miaka 50,
Si reli wala ndege, barabara ndio tegemeo,
 
Wenyeji walishajikatia tamaa, wengi ukiwauliza wanakwambia "haya ndio majaaliwa yetu". (Eshene sisi kwa lahilizwa) na ndio maana wanachagua watu kama Rage (ingependeza na ingeendana na tabia zake kama jina lake lingekuwa RAG) kuwa wabunge.
 
Mji wangu mkongwe wa Tabora,
Wewe ndio chimbuko la vuguvugu la uhuru wa Tanganyika,
Ndio mji mkubwa wa kwanza hapa Tanganyika enzi za ukoloni,
Leo umesahaulika mkoa wangu Tabora,
Sijui ni nani amekupoteza Tabora yangu,
Umezalisha wasomi na wazalendo wengi Tabora yangu,
Hukujipendelea kwa kujipendelea mkoa wangu Tabora,
Leo unaonekana ni mkoa ulio mwishoni kabisa,
Hata sherehe za miaka 50 hujakumbukwa na kupewa nishani kwa harakati zako Tabora,
Akina Fundikira na Kasangatumbo walikiona cha moto japo walipigania uhuru,
Tabora mji wangu wee...leo umebakiwa ni magofu,
Utalii haushamiri, japo fursa za historia zipo,
NANI KAKUPOTEZA TABORA WANGU,
Umezalisha viongozi lukuki, lakini wamekusahau Tabora,
Leo miundombinu hafifu, shauri ya kukuikomboa Tanganyika,
Nani atakukumbuka Tabora, iwapo hata nishani za uhuru hukupata,
Umejaaliwa ardhi rutuba, misitu na wanyama pori,
Wajanja wanakutafuna Tabora, na kukuachia jangwa bila maendeleo
AMKA TABORA AMKA, NAWE UONJE KEKI YA TAIFA.
Umeibeba historia ya nchi, lakini miaka 50 huthaminiwi.
Umeletewa Sanamu, na uwanja wa mpira usiokamilika,
Barabara hazipitiki, ndio leo wanaamka kukutengenezea barabara baada ya miaka 50,
Si reli wala ndege, barabara ndio tegemeo,
I was born there but I will never set my foot there...wachawi wizi wazinzi..mji mbaya kabisa ilaaniwe tabora
 
I love my tabora and freedom is coming. Usjali koz nimezaliwa hapo milambo baracks na isevya cheo, kiloleni, mihogoni, ng'ambo, kanyenye ,mwinyi etc ndo vitaa vyangu" so doncare tabora bkoz SHARD and CHADEMA will b ur saviour.
 
Tabora haina tatizo, tatizo ni kwa watu ambao NEC huwa wapatia, Just imagine SITA, KAPUYA, Eng Msekela, Tatu ntimizi, Mfutakamba,Rage, Kaboyonga, Mgombero, Nk. Sijaona kiongozi hata mmoja hapo. Kapuya alikuwa waziri tangu mimi nipo Darasa la kwanza takriban miaka 25 iliyopita, miezi miwili iliyopita nilikwenda urambo yaani ukiimaliza milambo secondary ndio mwisho wa lami, achilia mbali yule jamaa anaejiita SELELI, yaani ukiimaliza ipuli basi mpaka unapofika Tanesco Nzega ndio unaona kipande cha lami,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,La mwisho madogo hawapendi kufanya kazi, masela wanakaa vijiweni san, wanywa kahawa sana, na wacheza bao, so maendeleo ya wana TABORA yataletwa na wageni.
 
I was born there but I will never set my foot there...wachawi wizi wazinzi..mji mbaya kabisa ilaaniwe tabora

Mkuu, mbona umekasirika hivyo, ama hujui maji hata yakichemka kuwa mvuke ni lazima yatarejea hali yake ya umaji. Ni sisi wenyewe watu wa Unyamwanga, Unyanyembe 'Kulugo' ndio tutakaoikomboa Tabora yetu.

Kuna mipango mizito sana inaendelea kuratibiwa ili kuuweka mkoa wetu mzuri kwenye ramani ya Maendeleo na Demokrasia iliyotukuka. Wewe na wana JF wengine mmejaaliwa kuwa na access na mitandao yenye kukutanisha maelfu ya watu na wenye uwezo wa kujadili mambo nyeti kama hili, katu usikate tamaa. Uchawi na ujinga wa wakazi wa Tabora ni zao la serikali yetu kupiga siasa hadi vilioni.

Rage alichaguliwa si kwa mapenzi halisi bali ni kwa hujuma na Tabora kukosa wagombea makini na wazawa wenye uzalendo. Tabora ndugu yangu imecheleweshewa elimu ya uraia na hivyo wakazi wake walikuwa wamelala usingizi wa pono. Twende tu kwetu Mboka Manyema tukawaelimishe Wanyamwezi tukiwaambia 'Mtunule kwasyaga' yaani amkeni kumekucha. Nashukuru vyuo vikuu binafsi vimeanza kupelekwa Tabora ili tu watu wa huko nao wapate elimu bora kwa ukombozi wao mmoja mmoja, jamii na mkoa mzima. Tushikane tu tusaidie, usiuchukie ukweli, tafuta namna ya kuuhubiri ukweli ili siku moja tuimbe wote wimbo wetu wa 'matunda ya mji mzuri mji ambao babu na babu zao kabla yao waliishi kwa upendo na umoja.

Hizi ni salaam kwa Rage na mabwenyenye wote. Siku ipo inakuja.

Ni mimi,
Pangu Pakavu,
Nawasalimia.
 
Mji wangu mkongwe wa Tabora,
Wewe ndio chimbuko la vuguvugu la uhuru wa Tanganyika,
Ndio mji mkubwa wa kwanza hapa Tanganyika enzi za ukoloni,
Leo umesahaulika mkoa wangu Tabora,
Sijui ni nani amekupoteza Tabora yangu,
Umezalisha wasomi na wazalendo wengi Tabora yangu,
Hukujipendelea kwa kujipendelea mkoa wangu Tabora,
Leo unaonekana ni mkoa ulio mwishoni kabisa,
Hata sherehe za miaka 50 hujakumbukwa na kupewa nishani kwa harakati zako Tabora,
Akina Fundikira na Kasangatumbo walikiona cha moto japo walipigania uhuru,
Tabora mji wangu wee...leo umebakiwa ni magofu,
Utalii haushamiri, japo fursa za historia zipo,
NANI KAKUPOTEZA TABORA WANGU,
Umezalisha viongozi lukuki, lakini wamekusahau Tabora,
Leo miundombinu hafifu, shauri ya kukuikomboa Tanganyika,
Nani atakukumbuka Tabora, iwapo hata nishani za uhuru hukupata,
Umejaaliwa ardhi rutuba, misitu na wanyama pori,
Wajanja wanakutafuna Tabora, na kukuachia jangwa bila maendeleo
AMKA TABORA AMKA, NAWE UONJE KEKI YA TAIFA.
Umeibeba historia ya nchi, lakini miaka 50 huthaminiwi.
Umeletewa Sanamu, na uwanja wa mpira usiokamilika,
Barabara hazipitiki, ndio leo wanaamka kukutengenezea barabara baada ya miaka 50,
Si reli wala ndege, barabara ndio tegemeo,

Mkuu badala ya kulalamika sana kuhusu mkoa wako kuwa nyuma karibu ktk sekta zote takribani miaka 50 ya uhuru, unadhani nini kifanyike? Nadhani ni mkoa pekee ambao kiunganishi kati ya Makao makuu ya mkoa na wilaya zake zote, Nzega, Sikonge, Igunga, Urambo, Kaliua na Wilaya mpya ya Uyui bado ni barabara za vumbi! What are some possible solutions to the problem? What efforts should be made to rescue Tabora region?
 
Kaka tuliza, kuna mkakati underway mkuu, Tabora kitaeleweka tu. Tuko njiani tunakuja, ukombozi umewadia Unyamwezini, tega sikio utaskia sauti za mashujaa wa Unyanyembe wakiunguruma kama simba wa Ipembampazi, tega usikie akina mama, vijana na wazee wetu wanavyoshangilia ukombozi wao, tuko njiani baba tunakuja....

Mkuu badala ya kulalamika sana kuhusu mkoa wako kuwa nyuma karibu ktk sekta zote takribani miaka 50 ya uhuru, unadhani nini kifanyike? Nadhani ni mkoa pekee ambao kiunganishi kati ya Makao makuu ya mkoa na wilaya zake zote, Nzega, Sikonge, Igunga, Urambo, Kaliua na Wilaya mpya ya Uyui bado ni barabara za vumbi! What are some possible solutions to the problem? What efforts should be made to rescue Tabora region?
 
Tabora haina tatizo, tatizo ni kwa watu ambao NEC huwa wapatia, Just imagine SITA, KAPUYA, Eng Msekela, Tatu ntimizi, Mfutakamba,Rage, Kaboyonga, Mgombero, Nk. Sijaona kiongozi hata mmoja hapo. Kapuya alikuwa waziri tangu mimi nipo Darasa la kwanza takriban miaka 25 iliyopita, miezi miwili iliyopita nilikwenda urambo yaani ukiimaliza milambo secondary ndio mwisho wa lami, achilia mbali yule jamaa anaejiita SELELI, yaani ukiimaliza ipuli basi mpaka unapofika Tanesco Nzega ndio unaona kipande cha lami,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,La mwisho madogo hawapendi kufanya kazi, masela wanakaa vijiweni san, wanywa kahawa sana, na wacheza bao, so maendeleo ya wana TABORA yataletwa na wageni.

Huo ndio ukweli wenyewe kuhusu Tabora! Uswahili mwingi. Kamuulize Tumaini Eli Kiweru yaliyo mkuta alipokuwa RC mkoani Tabora miaka ya nyuma.
 
Mkuu, mbona umekasirika hivyo, ama hujui maji hata yakichemka kuwa mvuke ni lazima yatarejea hali yake ya umaji. Ni sisi wenyewe watu wa Unyamwanga, Unyanyembe 'Kulugo' ndio tutakaoikomboa Tabora yetu.

Kuna mipango mizito sana inaendelea kuratibiwa ili kuuweka mkoa wetu mzuri kwenye ramani ya Maendeleo na Demokrasia iliyotukuka. Wewe na wana JF wengine mmejaaliwa kuwa na access na mitandao yenye kukutanisha maelfu ya watu na wenye uwezo wa kujadili mambo nyeti kama hili, katu usikate tamaa. Uchawi na ujinga wa wakazi wa Tabora ni zao la serikali yetu kupiga siasa hadi vilioni.

Rage alichaguliwa si kwa mapenzi halisi bali ni kwa hujuma na Tabora kukosa wagombea makini na wazawa wenye uzalendo. Tabora ndugu yangu imecheleweshewa elimu ya uraia na hivyo wakazi wake walikuwa wamelala usingizi wa pono. Twende tu kwetu Mboka Manyema tukawaelimishe Wanyamwezi tukiwaambia 'Mtunule kwasyaga' yaani amkeni kumekucha. Nashukuru vyuo vikuu binafsi vimeanza kupelekwa Tabora ili tu watu wa huko nao wapate elimu bora kwa ukombozi wao mmoja mmoja, jamii na mkoa mzima. Tushikane tu tusaidie, usiuchukie ukweli, tafuta namna ya kuuhubiri ukweli ili siku moja tuimbe wote wimbo wetu wa 'matunda ya mji mzuri mji ambao babu na babu zao kabla yao waliishi kwa upendo na umoja.

Hizi ni salaam kwa Rage na mabwenyenye wote. Siku ipo inakuja.

Ni mimi,
Pangu Pakavu,
Nawasalimia.

Worthy!!!!
 
Siyo venevyo mhenga, kwizile mkulu wane, ikalaga tayari nyanda kwizile. Yaani tunakuja comrade, tunakuja mkuu wangu, kaa tahari kijana tunakuja. Ukombozi umefika, ninachohitaji ni ushirikiano wenu, muda si muda nitatoa picha na jina langu ili tuwe pamoja katika mtanange, tuko karibu baba...

Wenyeji walishajikatia tamaa, wengi ukiwauliza wanakwambia "haya ndio majaaliwa yetu". (Eshene sisi kwa lahilizwa) na ndio maana wanachagua watu kama Rage (ingependeza na ingeendana na tabia zake kama jina lake lingekuwa RAG) kuwa wabunge.
 
Back
Top Bottom