wakuu hapa tabora mjini kumetokea vurugu...kuruta wa jkt wamezurumiana na machinga katika kuuziana viatu ...naskia jamaa kachukua viatu bila kulipa machinga wamempa kichapo..sasa ni vurugu maduka yote yamefungwa watumwanakimbia hovyo yaani ni noma tupu. Askari wanajaribu kuwazuia raia wasiwapige askari wa jkt maana wanahofia kitakchofuana ni noma....