knownless
Senior Member
- Dec 23, 2011
- 172
- 46
Once a convict
Always a law breaker
tatizo wanyamwezi uswahili umezidi,kwa vile wanacheza naye draft huku akiwanunulia kahawa baasi akili zinawaruka na kumpa kura.
Once a convict
Always a law breaker
Tabora ni ngome ya CCM. Hata mfanyeje haitahamia CDM. Mmeona Igunga. Mtapoteza nguvu nyingi na pesa ambazo mngetumia kwingine. Ngome zingine za CCM ni Lindi, Mtwara, Unguja na Pwani.
Msipende kujua ni kwa nini iko hivyo. Inatokana na nchanganyiko wa vitu vingi na haviko systematic. Hata Marekani kuna Red States na Blue States.
CDM iwekeze zaidi kwenye maeneo yasiyo ngome za CCM. eg Mwanza, Shinyanga, Musoma, Mbeya, Arusha etc
tatizo wanyamwezi uswahili umezidi,kwa vile wanacheza naye draft huku akiwanunulia kahawa baasi akili zinawaruka na kumpa kura.
Jamani barabara za mkoa wetu wa Tabora zinatisha. Mpaka sasa hakuna barabara hata moja yenye rami ambayo inaingia mkoa wa Tabora. Chama changu cha Chadema mko wapi? Waamsheni wananchi wa Tabora kwani ni waelewa. Siku zote wanyamwezi na wasukuma ukiwaelimisha wakaelewa watakuunga mkono. Chadema nendeni Tabora kwani waanzilishi wa vyama hakina Fundikira, Mapalala na Kasela Bantu wote walikuwa ni wenyeji wa Tabora.
Wana JF muwe huru kuchangia kwenye thread ili mkoa wa Tabora uweze kuinuliwa. Kwasababu wanasiasa wenye maamuzi nao wanatembelea mtandao wetu wa JF. Nahisi kuna kitu kitafanyika.
Tabora ni ngome ya CCM. Hata mfanyeje haitahamia CDM. Mmeona Igunga. Mtapoteza nguvu nyingi na pesa ambazo mngetumia kwingine. Ngome zingine za CCM ni Lindi, Mtwara, Unguja na Pwani.
Msipende kujua ni kwa nini iko hivyo. Inatokana na nchanganyiko wa vitu vingi na haviko systematic. Hata Marekani kuna Red States na Blue States.
CDM iwekeze zaidi kwenye maeneo yasiyo ngome za CCM. eg Mwanza, Shinyanga, Musoma, Mbeya, Arusha etc
Na ndio maana mimi Pangu Pakavu najiandaa kuwakomboa wana Tabora kupitia chama mbadala, CDM.
Ni majuzi tu nilitoa salam kwa Mh Rage, mbunge wa Simba Sports Club, nikasema akae chonjo kwa kuwa umaskini na udhaifu wa Tabora hauvumiliki kamwe. Tabora haikupaswa kuwa hivyo ila ni dhahiri kwamba ama wanatabora hawakupewa elimu sahihi ya mageuzi ama elimu hiyo imechelewa kuwafikia.
Hakuna miujiza katika maendeleo, ni lazima kelele na juhudi zifanywe ili kuleta maendeleo hayo, ukisoma taarifa ya mkoa huu ya miaka 50 ya uhuru unaweza kulia bure, ofisi ya mkuu wa mkoa inaishia kusema eti kumekuwa na maendeleo ya kilimo hususan tumbaku na kwamba eti uvunaji wa asali umekua. Hivi tokea mwaka 1963 hiyo tumbaku na asali zimewafaidisha vipi wakulima wa Tabora, Mh Nkumba ataniunga mkono katika hili. Hiyo asalu ni ipi kama pale senta ya Nyuki kule airport imeishia kuchukuliwa na Mbola Project ile ya vijiji vya millenia, sembuse barabara???
Mabadiliko tutayahubiri na tutawaelimisha wanyamwezi na wasukuma ili twende sambamba, wakati wa ujinga umepita.
Ni mimi
Pangu Pakavu.
.
Kuna wakati huwa najiuliza hivi great thinkers ni nani? Nilidhani ile post yako ya ongoing projects ingeufunga huu uzi lakini wapi! Watu wamefumba macho na kujielekeza kwa Rage wakati uzi ni kuhusu barabara na unewapa majawabu. JF kuna mabingwa wa ubishi na wala siyo thinkers! Mkoa mmoja una miradi toka Manyoni hadi mpakani mwa kigoma zaidi ya km 250! Kuna ujenzi wa barabara toka Tabora mjini kwenda Nzega zaidi ya km 100 ili kuunganisha barabara ya Dsm-moro-dodoma-singida-shinyanga-mwanza! Bado tunasema hakuna kinachofanyika huko Tabora?Huo ni Mkoa uliosahauliwa toka awamu ya kwanza, kwa mara ya kwanza tunaona Kikwete akiwekeza kwa mabarabara huko. Baada ya dhiki faraja. Huyo ndio JMK.