The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
Ikiwa tunangoja ccm watimize ahadi yao ili sisi wananchi tuone nani fisadi, tutoke kwenye kucha ya mafisadi. dk slaa huyo kutochanga.
Hana uvumilivu, subira hili linatufanya tuanze kuamini uwezo wake wa kuongozataifa kubwa tz likawa salama. kauli ya Msajili wa vyama vya siasa kuhusu dk slaa inaanza kuonekana
hekima ni kitu muhimu, subira ni muhimu pia.
waache wana-ccm waingoje ahadi ya ccm; sisi wengine tunajua maigizo ya ccm kabla hata hayajafanyika.
endelea kusubiri ahadi mkuu...........