mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,251
Mimi nihesabu kwenye tablet ya Tsh 380,000[/QUOTE]
Hapo kwenye RED nimeghairi nihesabu kwenye Apple iPad(64G/WIFI+3G) pamoja na MacBook Pro(MC024CH)
Mimi nihesabu kwenye tablet ya Tsh 380,000[/QUOTE]
Hapo kwenye RED nimeghairi nihesabu kwenye Apple iPad(64G/WIFI+3G) pamoja na MacBook Pro(MC024CH)
angalia bei za ipad nimezibadilisha kidogo ile ilikuwa bei ya kiwandani.
nimeshindwa ku dowload ili kuona bei,natumia sim,ila nahitaj laptop,,,but siwez kuweka oda wakat sijui bei na ubora
mkuu pamoja sana, nipe contacts zako pm
Hey! Send me those price sheets on email, I'm on mobile and just failed to download attachments. alphonce@alphonce.net
Nimeangalia kwenye list sijaona hiyo bei wala hiyo iPad,hebu niwekee bei hapa kwa hizo model ambazo nazitaka kwa USD au kwa TShangalia bei za ipad nimezibadilisha kidogo ile ilikuwa bei ya kiwandani.
huu ni uongo nakama ni ukweli walikwambia hivyo kuwa wanakutumia bure basi ni sawa ila mimi niko hapa china hakuna kitu kama hicho na nakushauri kama wamekwambia uwatumie hela zitaliwa take care nakushauri kama rafiki yangu. Apple kwa bei hiyo hakuna labda kama ni tunda siyo computer, au kama unataka fake. Ukibahatika kuletewa bidhaa halisi nakupa hongera kwakuwa mfanya biashara wa kwanza mwenye faida kubwa. Bei halisi ni kwa bidhaa halisi bei rahisi ni kwa bidhaa fake angalia usije kuingia hasara. Kingine hakuna speed ya kutuma mzigo kutoka huku kwa siku ulizotaja hapo kwa bei cheap kama uliyotaja hapo maana itakubidi utumie dhl, ups, au ems ni gharama. Kuwa muangalifu kama unafanya biashara online ya kutuma hela na kupokea mzigo. Itakuwa kitu kizuri kama ulishawai kufanya biashara na hao watu kwa mara kadhaa hivyo mnaaminiana. Tablet kuna cheap mbovu na za gharama nzuri.wana jf mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini ili wanitumie kwa bure ili baade zikifika niziuze mara moja na kutuma hela zao na kuendelea nao hivyo hivyo.
Ombi. Wanajanvi naomba ambao mko tayari kununua tuwasliane mimi sitataka unilipe hela ila unihakikishie tu kuwa utanunua mara tu ya mzigo kuingia then muniruhusu niwambie wanitumie. Unaweza ukanipm au ukanicall 0683714488. Mi napatikana dar.
wadau tulioagiza tablet tujiandae baada ya wiki mbili mzigo utakuwepo bongo, na wale wa laptop na ipad tuanze kuagiza hizo ndo bei zake usiogope bei ndogo ww agiza tu kama unayo hiyo hela
iliyoandikwa. bei za laptop na ipad tu tunaweza kudiscuss kama unataka zaidi ya moja.
angalia bei za ipad nimezibadilisha kidogo ile ilikuwa bei ya kiwandani.