Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Habari zenu wanaJF nina shida na Tablet PC kwa jili matumizi ya mwanangu ambaye yuko chuo,nimejaribu kuulizia maduka yote hapa Kigoma bila mafanikio,hivyo nimeamua kufunga safari kuja Dar wiki ijayo,hivyo kwa mtu ambaye anajua zina patikana maduka gani hapo Dar anielekeze tafadhali ilinikifika nisisumbuke sana kuzitafuta,pia kama mtaniwekea na bei zake nitashukuru sana.