Tabia za wanaume zisizowapendeza wanawake!

wanawake hawapendi mwanaume mlevi
mwanaume asiyeweza majukumu
mwanaume asiyeweza kufanya maamuzi mwenyewe bila kuwashirikisha marafiki
mwanaume mchafu
mwanaume malaya
mwanaume mjinga
anayemaliza game halafu anavuta sigara
 
anayelock simu
Anayefuta msg lakini anasahau delivery report
Anayetongoza mashoga wa mtu wakeanayehonga gari bila kadi
Anayerudi hm saa za wachawi kuwanga
 
Kuna kabila fulani wanafahamika kwa No. 4, natamani wadada wajihadhari na wa kabila hii. Maana kula, kuumwa, kuoga pia bajeti.
Mie sipendi tabia ya kusemana kwa MAFUMBO........................LOL
 
8.)Hawapend man acyewackiliza,.its mistake 4 man 2 think he required 2 solve all gal's problems,man cn refus 2 listen them to avoid majukumu,some problem has no solution and they knw dt..ol they want z 2b allowed 2 express their feelings,idea n' problem..
 
Ngoja nizidadavue hapa chini kama ifuatavyo...............

1. Aina ya kwanza ni ile ya mwanaume ambaye anatatabirika. Wanawake hawapendi wanaume wanaotabirika kwa sababu wanaelewa ni jinsi gani watalipokea jambo lolote linalotokea. Mwanamke anaweza kujua kabisa kwamba, leo atatolewa outing au hapana, ataletewa zawadi au la. Yaani hakuna kitu tunachokiita surprise. Wanawake wanataka kiasi fulani cha kutotabirika toka kwa wanaume. Ndio maana utakuta anaishi au kuolewa na mwanaume jeuri au mwenye roho mbaya . siyo kwamba anampenda kwa jeuri yake, bali kwa kutotabirika kwake.

2.
Aina ya pili ni ile ya mwanaume anayejisikia (mwenye maringo). Huyu kwa kawaida ni mbinafsi sana. Ni jeuri siyo kwa mpenzi wake tu, bali hata kwa mtu yeyote ambaye anamuona yuko chini yake. Kuwaringia watu wengine ni sawa na kumringia mpenzi wako moja kwa moja.

3. Aina ya tatu ni ile ya wanaume jeuri. Mtu jeuri hana aibu! Wakati mwingine anaonesha waziwazi kwamba anamtamani mwanamke mwingine mbele ya mpenzi wake! Anafikia hatua ya kumsimulia mpenzi wake kuhusu marafiki zake wa kike wa zamani na hata u.p.u.u.z.i waliokuwa wakifanya! Kwa ujumla anawadharau wanawake.

4. Aina ya nne ni ile ya mwanaume bahili. Hamnunulii mpenzi wake zawadi hata siku moja! Kila wakati watokapo outing yeye na mpenzi wake huagiza vyakula vya bei rahisi sana pamoja na kwamba, anazo hela. Anataka kumfanya huyo mpenzi wake atishike naye aagize vya bei rahisi. Na wakati wa kulipa anahesabia fedha mfukoni, anatoa fedha utadhani bajeti inabana sana au utadhani yeye na mpenzi wake wamekubaliana “kukaza mikanda.” Mwanaume anaonesha ana mkono wa birika namna hiyo katika siku za kwanza tu za mapenzi! Je huko baadaye itakuwaje? Si atahesabu hata vipande vya nyama jikoni!

5. Aina ya tano ni ile ya mwanaume mbishi. Hata majadiliano ya kawaida tu, yeye anataka kubishana! Anapomtoa outing mwanamke, anakuwa kama amempeleka kwenye mashindano ya mdahalo! Mwanamke hajisikii kuwa huru kutoa maoni au kusema hisia zake, maana atabishiwa.

6.
Aina ya sita ni ya mwanaume asiyekosea. Huyu bwana anapenda sana kuhumu wenzie. Inawezekana hanywi wala havuti sigara, anataka hata wenzie wamuige yeye, wasinywe wala wasivute sigara. Toka siku ya kwanza anayotoka na mwanamke anaanza kumhubiria anayoyataka yeye, siyo asiyoyataka mwanamke. Huyu hataki kabisa mwanamke akawa huru kama yeye, bali angependa yeye amuamulie awe nani na afanye kipi au asifanye kitu gani, ebo! Sasa hapo ni mtu na mpenzi wake au mtu na mtumwa wake!

7. Aina ya saba ni ile ya mwanaume kuwachukia wanawake. Hafichi chuki yake kwa wanawake. Huyu huonesha dhihaka nyingi kwa mpenzi wake na kuwaponda wanawake kwa ujumla wao. Mazungumzo yake yote yatakuwa ni kuwadharau, kuwadhalilisha na kuwanyanyapaa wanawake. Hivi ni mwanamke wa namna gani ambaye atamkubalia mwanaume mpondaji namna hii? Labda mwanamke mwenye mkabala wa kufujwa peke yake au yule mwenye kutaka tu kuchuna buzi na kusepa zake.

Nitaendelea kuwamwagia Tabia za wanaume zisizowapendeza wanawake siku zijazo....

1. Aina ya kwanza ni ile ya mwanaume ambaye anatatabirika. Kwanini mwanamke awe mtabiri? basi naye (Mke) anatabia mbaya.

2. Aina ya pili ni ile ya mwanaume anayejisikia (mwenye maringo). Kujisikia kupi? Kujiamini? Nadhani mke naye anatakiwa kuwa mtafutaji.

3. Aina ya tatu ni ile ya wanaume jeuri. Hapa umechanganya maelezo. Sijakuelewa. Jeuri si lazima akose aibu. lkn maelezo yako yanaonesha labda mpenzio alikuwa kakuchoka.

4. Aina ya nne ni ile ya mwanaume bahili. Hii aina ubishi kuwa kuendelea kwa wanawake kuwa tegemezi na kupiga kelele majukwaani kutaka ata haki ya kipato hakuwezi kuwakomboa. Si vibaya kupewa zawadi ila ni vibaya kutegemea zawadi mara zote, huu utakuwa uombaomba wa namna fulani.
5. Aina ya tano ni ile ya mwanaume mbishi. Anabishana na nani kama mke au mtu fulani aendelezi ubishi!!! Kubishana ni pande mbili. Lakini si lazima kukubali kila kitu. Ila kama anabisha penye ukweli basi huo ni ujinga.

6. Aina ya sita ni ya mwanaume asiyekosea. Nafikiri huyu ndo mzuri kwa mahusiano. anaweka bayana yale anayodhani si poa kwake. Ukikubali poa na ukikataa tambaa.

7. Aina ya saba ni ile ya mwanaume kuwachukia wanawake. Sidhani kama huyu yupo. lakini siumesema asipende wanawake wengine kwenye ujeuri????

Nitaendelea kuwamwagia Tabia za wanaume zisizowapendeza wanawake siku zijazo... Usiendelee. Tabia ulizotaja nadhani moja au zaidi itakuwa kwa kila mwanaume na mke pia. Kama hujaolewa acha na kama umeolewa hakuna ndoa hapo.
 
Ngoja nizidadavue hapa chini kama ifuatavyo...............

1. Aina ya kwanza ni ile ya mwanaume ambaye anatatabirika. Wanawake hawapendi wanaume wanaotabirika kwa sababu wanaelewa ni jinsi gani watalipokea jambo lolote linalotokea. Mwanamke anaweza kujua kabisa kwamba, leo atatolewa outing au hapana, ataletewa zawadi au la. Yaani hakuna kitu tunachokiita surprise. Wanawake wanataka kiasi fulani cha kutotabirika toka kwa wanaume. Ndio maana utakuta anaishi au kuolewa na mwanaume jeuri au mwenye roho mbaya . siyo kwamba anampenda kwa jeuri yake, bali kwa kutotabirika kwake.

2.
Aina ya pili ni ile ya mwanaume anayejisikia (mwenye maringo). Huyu kwa kawaida ni mbinafsi sana. Ni jeuri siyo kwa mpenzi wake tu, bali hata kwa mtu yeyote ambaye anamuona yuko chini yake. Kuwaringia watu wengine ni sawa na kumringia mpenzi wako moja kwa moja.

3. Aina ya tatu ni ile ya wanaume jeuri. Mtu jeuri hana aibu! Wakati mwingine anaonesha waziwazi kwamba anamtamani mwanamke mwingine mbele ya mpenzi wake! Anafikia hatua ya kumsimulia mpenzi wake kuhusu marafiki zake wa kike wa zamani na hata u.p.u.u.z.i waliokuwa wakifanya! Kwa ujumla anawadharau wanawake.

4. Aina ya nne ni ile ya mwanaume bahili. Hamnunulii mpenzi wake zawadi hata siku moja! Kila wakati watokapo outing yeye na mpenzi wake huagiza vyakula vya bei rahisi sana pamoja na kwamba, anazo hela. Anataka kumfanya huyo mpenzi wake atishike naye aagize vya bei rahisi. Na wakati wa kulipa anahesabia fedha mfukoni, anatoa fedha utadhani bajeti inabana sana au utadhani yeye na mpenzi wake wamekubaliana “kukaza mikanda.” Mwanaume anaonesha ana mkono wa birika namna hiyo katika siku za kwanza tu za mapenzi! Je huko baadaye itakuwaje? Si atahesabu hata vipande vya nyama jikoni!

5. Aina ya tano ni ile ya mwanaume mbishi. Hata majadiliano ya kawaida tu, yeye anataka kubishana! Anapomtoa outing mwanamke, anakuwa kama amempeleka kwenye mashindano ya mdahalo! Mwanamke hajisikii kuwa huru kutoa maoni au kusema hisia zake, maana atabishiwa.

6.
Aina ya sita ni ya mwanaume asiyekosea. Huyu bwana anapenda sana kuhumu wenzie. Inawezekana hanywi wala havuti sigara, anataka hata wenzie wamuige yeye, wasinywe wala wasivute sigara. Toka siku ya kwanza anayotoka na mwanamke anaanza kumhubiria anayoyataka yeye, siyo asiyoyataka mwanamke. Huyu hataki kabisa mwanamke akawa huru kama yeye, bali angependa yeye amuamulie awe nani na afanye kipi au asifanye kitu gani, ebo! Sasa hapo ni mtu na mpenzi wake au mtu na mtumwa wake!

7. Aina ya saba ni ile ya mwanaume kuwachukia wanawake. Hafichi chuki yake kwa wanawake. Huyu huonesha dhihaka nyingi kwa mpenzi wake na kuwaponda wanawake kwa ujumla wao. Mazungumzo yake yote yatakuwa ni kuwadharau, kuwadhalilisha na kuwanyanyapaa wanawake. Hivi ni mwanamke wa namna gani ambaye atamkubalia mwanaume mpondaji namna hii? Labda mwanamke mwenye mkabala wa kufujwa peke yake au yule mwenye kutaka tu kuchuna buzi na kusepa zake.

Nitaendelea kuwamwagia Tabia za wanaume zisizowapendeza wanawake siku zijazo....

....dahhh, ....basi kwa eksipriensi yangu wanawake wengi wa maana (ninaowajua) ndio wanao fall in love kwa wanaume wenye sifa hizo...
 
  1. sipendi mwanaume shingo feni kila ukikaa naye unajiuliza yuko na wewe kwa sababu gani kama hajamaliza kuchagua....
  2. sipendi mwanaume mwenye kibamia.......
  3. sipendi mwanaume mlevi kupita kiasi......
  4. sipendi mwanaume obsessed na mpira,yule ambaye kuangalia manchester united kunakuja kabla hali ya watoto wameshindaje.......
  5. sipendi mwanaume mwenye gubu asiyeshaurika ...

ni hayo tu kwa leo lol
 
  1. sipendi mwanaume shingo feni kila ukikaa naye unajiuliza yuko na wewe kwa sababu gani kama hajamaliza kuchagua....
  2. sipendi mwanaume mwenye kibamia.......
  3. sipendi mwanaume mlevi kupita kiasi......
  4. sipendi mwanaume obsessed na mpira,yule ambaye kuangalia manchester united kunakuja kabla hali ya watoto wameshindaje.......
  5. sipendi mwanaume mwenye gubu asiyeshaurika ...

ni hayo tu kwa leo lol


na utakuta most of ur guys wako hivyo....


inaitwa the power of attractions....watu weengi huwa wana attract the opposite of what they want....
 
Hiyo no4 hiyo..kwa kipato cha bongo bila ubahili hufanyi lolote,na hapa ukiyaendekeza matamanio kike yasiyoisha utajachekwa na dunia..unamuendekeza leo kesho atakusimanga, eti huna malengo..jamani kuna kesho, tuwe na kiasi..UBAHILI ni mtaji na ndo ramani yenyewe..
 
Anaeenda outing na wanawake wengine,Gudluck unakuwa umetoka out na mashost wenzako,unamwona.ukimtext anakuambia am just at home.
 
na utakuta most of ur guys wako hivyo....


inaitwa the power of attractions....watu weengi huwa wana attract the opposite of what they want....

  1. sipendi mwanaume shingo feni kila ukikaa naye unajiuliza yuko na wewe kwa sababu gani kama hajamaliza kuchagua....
  2. sipendi mwanaume mwenye kibamia.......
  3. sipendi mwanaume mlevi kupita kiasi......
  4. sipendi mwanaume obsessed na mpira,yule ambaye kuangalia manchester united kunakuja kabla hali ya watoto wameshindaje.......
  5. sipendi mwanaume mwenye gubu asiyeshaurika ...

ni hayo tu kwa leo lol

The Boss, umesema jambo la msingi sana, hata ukisoma maoni ya Jestina yanaonesha dhahiri anavuta kile asichokipenda.......Hiyo niliyoweka BOLD inadhihirisha hilo.............Akili yetu ya kina haijui neno SIPENDI....
Yenyewe inafanyia kazi kile kilichotamkwa na vinywa vyetu na kuingizwa katika akili zetu, neno sipendi linakuwa halipo kabisa..........Kinachotakiwa ni kusema sifa uzitakazo....kile ndio kinatakiwa kuingia akilini mwako.

Hebu chunguza watu waliokuzunguka hususan wanawake... Wale waliowahi kuapa kuwa hawapendi kuolewa na wanaume wa aina fulani wamejikuta wameangukia kwa wanaume wa aina hiyo, na hata kazi wale waliosema hawapendi kazi za taaluma fulani sasa wameangukia huko huko.
Kilichofanyiwa kazi na akili ya kina ni kile usichokipenda kwa sababu ndicho kilichopo akilini mwako.
Nitaweka mada ya the power of attractions..........SIKU ZIJAZO
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom