me cpendezwi na hyo avatar yako!Wana JF,
Kuna tabia tofauti tofauti humu JF, za Members!
Kama wewe ukiwa mdau wa JF, Members gani wanakuvutia kwa tabia zao nzuri. Na Members gani upendezewi na tabia zao!
Mimi binafsi Members wanaonivutia kwa tabia zao.
Katavi, Sweetlady, wewe je endeleaa
haijabeba uafrika kabisa nadani yake.
wani afrika kuna mabaya tu??