kweli kabisa BofloMwanamme anayehongwa atakuwa ana walakin
kweli kabisaaaa tena anajivunia UANAUME wake kwa kuhonga pesa nyingi kama wewe ivi.Mwanaume siku zote anatakiwa kuwa kichwa bwana sio kuanza kujilamba kwa mwanamke eti ampe pesa shame upon you unayesoma uliezoea kumfanya mpenzio wa kike buziMwanamme wa kweli hali bure
NA MWANAUME ANAYEFUNGUA ZIPU YA SURUALI KWA SBB YA KUHONGWA ANAFAA? unless mtoa mada anazungumzia machangu na sio wapenzi hiyo issue ingineMwanamke anaetoa nguo kwa sababu kahongwa hafai hata kwa chai ya rangi!
Nimeona mwaya mwanaume wa kweli anasifiwa kuingiza mkono mfukoni n kutoka na madafu sio kwa machangu lakini.me naongelea wapenzi.Halafu naomba kuuliza mashine ya ukweli kwa mwanamke inakuaje?umeona eeee
Boflo hii ni bonge la topic, najua wanaume wengi inatuuma sana kuona madem wanakula mpunga wetu. Binafsi hii kitu imenipasua kichwa saana, kila Dem hata kama ataanza kwa pozi hataki pesa mwisho wa siku atakupiga mzinga wa maana. Kuhusu, kuhongwa nilishawahi ila nikaona kama naweka uhuru wangu sokoni, so nikaachana na hizo. Mwanamume piga kazi pata pesa kula na umpendae. Wahenga walinena starehe gharama, though neno kuhonga limekaa kiwizi wizi flani, jichukulie poa tu kuwa umeamua kupata burdan ukizingatia maisha yenyewe ya kisanii sanii tu.
hupendi??kama hupendi i wont do it again!lolz
it turns me on...so dnt know if u will be ready to satisfy me
Atakuwa shoga si eti eeh!
Mwanamme anayehongwa atakuwa ana walakin