'Kidada' kwa kihehe ni tabia ya kususa...nilimuuliza rafiki yangu wa huko ira akaniambia ni katabia flan kanakoendekezwa kwa sana na wadada wa huko...huyu rafiki akahitimisha ukikijulia hicho 'kidada' basi dada wa kihehe yu tayari kufwariki kwa ajili yako...tulikuwa na wachagga na mambo yao..sasa nawaombeni tukijadili hiki 'kidada' cha wadada wa iringa..je kipo..kina tija? au huyu rafiki yangu ni mzushi tuu..