Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Mie nashangaa kabisa.....yaani hawa mashoree wa kibongo hovyo kabisa kwa sasa kuna tabia mbaya sana ya wao kuweka picha zao zisizo na maadli facebook.....yaani siku hizi facebook ni sehemu ya kuanika viungo vyao hadharani.....
Inasikitisha sana aisee.....ndio maana wanawake wa kibongo rate ya kudharaulika na kupewa majina ya kebehi na dharau ineongezeka nowadays....jirekebisheni
Inasikitisha sana aisee.....ndio maana wanawake wa kibongo rate ya kudharaulika na kupewa majina ya kebehi na dharau ineongezeka nowadays....jirekebisheni