MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Napenda sana chakula cha wachina but tabia yao hii inanishinda
Nimekuwa nikienda kwenye hotel zao mara kadhaa kupata kitu roho inapenda but Karibu mara mbili sasa nimeshindwa kula chakula nilichoagiza katika hoteli za kichina kwa sababu,ya tabia ya Wachina ya kutoa kamasi na makohozi mbele yangu wakati nataka kula .
kwa kweli nimetafakali hadi nimeshindwa kupata jibu.
Kwa wanao wajua zaidi
Je hii ni tabia yao au hawapendi rangi ingine iingie mahotelin kwao?
Nimekuwa nikienda kwenye hotel zao mara kadhaa kupata kitu roho inapenda but Karibu mara mbili sasa nimeshindwa kula chakula nilichoagiza katika hoteli za kichina kwa sababu,ya tabia ya Wachina ya kutoa kamasi na makohozi mbele yangu wakati nataka kula .
kwa kweli nimetafakali hadi nimeshindwa kupata jibu.
Kwa wanao wajua zaidi
Je hii ni tabia yao au hawapendi rangi ingine iingie mahotelin kwao?