Kuna katabia ka baadhi ya mabinti inaniuzi sana,ni hivi unakutana na dada amabaye mnajuana nae vizuri sana labda mlikaa mtaa mmoja,au kusoma wote miaka ya nyuma,na inatokea kwamaba hamjaonana mda mrefu kiasi.kwanza ukimsalimia najidai kama kakusahau umkubushe we nani??baada ya maongezi ya hapa na pale anajidai ndio kakukumbuka,miwisho kwa mawasiliano kama watu mlioishi au soma pamoja unaomba akupe namba ya simu anaanza ohh mimi huwa sitoi namba,ohh mchumba/mme wangu haruhusu au ohh simu yangu mbovo,kifupi anakunyima namba yake kabisa kabisa.ila siku zinapita anapata habari zako zaidi kuhusu wewe na nagundua uko sehemu yenye manufaa kwake,au unauwezo hasa wa kifedha na mwingine wowote wa yeye kunufaika,anaaza yeye mwenyewe kuitafuta namba yako,akiipata anaanza kukupigia simu kila mara na kujidai anaupendo mkubwa sana kwako..mi najiuliza inamaana unamsamini mtu ukijua tu anauwezo au ukiona anamasilahi fulani?? Hata namba yako tu ya simu uliona hana samani ya kuwa nayo,kwanini sasa ujidai unamjua na kmsaminini sana?!!