Kaa mbali na wanadada kama hao. Sio mwema kwako. Mwanadada mwema ni yule anakupa unapokuwa na shida na wewe unampa anapohitaji. Lakini kama anjishusha class hadi akuombe wakati anazo.... She is odd.
Bado sijapata sababu za msingi za mazoea haya ya akinadada kuomba, mfano wote ni watumishi mmeenda seminer mnalipwa sawa kwa sababu tu wewe ni mdada basi unaona haki yako kupewa, tukiwa kule chuo wote tunafadhiliwa na serikali bado wadada ni waombaji, ki ufupi inakela sana acheni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.