CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
- Thread starter
- #21
Ukuni wangu ukipata hamira, nahitaji utendewe haki soon!
Mambo ya kupangiwa mgao kama umeme wa Tanesco kwangu nishaTUPA kulee!
Sijui nayo ni tabia mbaya au nzuri !
Mimi sijui.
hahaa! nayo ni tabia. na tabia hujenga mazoea.