duh. Mi nna tabia ya kunusa vitu aisee. Na nikivua nguo hata pichu lazma niinuse! Sometimes nanusa chakula, kijiko ama sahani. Na nna pua very sensitive kama sungura! Kama sahani ilikushwa na towel chafu naisikia. Sijui nna kichaa?
Kuamkia wanao nizidi umri!
Afu usiombee uwe unakaanga nyama au samaki.
Mpaka afike mezani samaki hana Kichwa,mkia wala upande mmoja.
King'asti bidada,
yani kuna watu wana tabia ya ajabu acha tu.
Kuna mkaka mmoja anaishi huku mitaa ya kwetu anapenda sana harufu ya Uke.
Hana tatizo lolote la Kiakili na ana familia yake nzuri tu.
Yani Wadada wanakoma nae,maana anaweza akakunywesha Pombe mpaka ukalewa,afu anachukua kitambaa anakufuta sirini afu anaondoka,
Hana historia ya Kubaka wanawake ila tabia yake ndo hyo tu.
Kama nimemuelewa mleta mada (yfu) alichouliza ni tabia ya utotoni mpaka sasa; My answer is ni kuwa ile tabia yangu ya utotoni sijaacha hata kidogo ila nimebadili tu siku hizi kwani tofauti na zamani siku hizi huwa naenda mwenyewe TOILET. Correct??:yo:
umeona eeh. Sasa nna tabia ya kunywa maji na sports bottle hata nikiwa home. Sasa ndo nile samaki, na kunywa maji. Afu nijaziwe maji mengine bila kuoshwa bottle vizuri na sabuni, naskia kutapika kabisa.nafanana na wewe kila kitu katika hiyo tabia...sio ukichaa nimegundua siye tuna uwezo mkubwa sana wa kunusa sasa ishu inakuja pale tunapokutana na harufu zinazokera.
kwa mfano mie siwezi weka wali kwenye sahani yenye shombo ya samaki
sehemu ambayo nina hakika wana dishwasher wala siati taabu. Ila nikipewa chombo chenye maji maji natamani kuzirai. Ila bar na hotels za uswazi lazma ninuse, tena glass ndo ntasikia harufu ya bia au domo la last user.duh,pole inamaana hata ukienda 5* hotel huwa unanusa sahani?
huwa nachutama mbele ya kioo!
Sasa@King'asti nisemeje? Basi tabia tangu ya kumpenda maza bado sijaiacha. Sasa si nimepatia bidada?
hahahaha. Huyo ana kichaa. Mie nanusa kuona kama imechafukaje? Hata sijui kwa nini nafanya hivyo. But im just too careful na harufu ya nanihii, si ubajua kama ni dalili mojawapo ya matatizo? Na sio kamanapenda harufu, nitaikagua tu.
sehemu ambayo nina hakika wana dishwasher wala siati taabu. Ila nikipewa chombo chenye maji maji natamani kuzirai. Ila bar na hotels za uswazi lazma ninuse, tena glass ndo ntasikia harufu ya bia au domo la last user.
ukiamua unaacha nadhani ila kwa mbinde. Mimi nikiwa mdogo nilikuwa nakula kucha. Nikawekewa wanted home hadi nikaacha. Rafiki yangu na wanae wote wanakula kucha. Nimemsema hadi ameacha manake ananitia kinyaa nahosi anatapakaza mimate yake kila mahali.Unafikiri ana kichaa, basi tu ashuo lake.
Ila mwenzangu hvi hzi tabia huwa zinarithishwa kweli au ni katabia ka kukua nako?
Manake utakuta mtu anapenda kitu ambacho kwa mwengine ni lazima ushangae.
Hv hakunaga dawa?