Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 576
Jana jioni, barabara ya kwenda Bagamoyo, saa za jioni wakati watu wanarudi majumbani kutoka kwenye mahangaiko ya maisha, ndani ya basi al-maaruf Daladala. Watu wakiwa wamejaa kishenzi kutoka Kariakoo wakiwa wengi wameshikiloa mabomga darini.
Mzee mmoja mtanashati na kijana wa makamo hivi karibia 30s akajikuta anasimama nyuma ya mdada mmoja aliyejifunga ushungi kichwani na kajifungasha nguo kadha mwilini mwake akiwa kasimama naye mbele ya kaka huyo. Gari ikawa inavipanga vituo kwa namba tangu Kariakoo hadi Mbezi Beach na kuendelea.
Si wamejazana? kaka huyo kila gari inaposhitua kwa kuongeza mwendo akajikuta fimbo yake inagusa mfereji wa makalio ya dada yule. Kwa kuwa fimbo haina siri, ikaanza kutanuka, naye akanogewa na kukaa sambamba na mfereji wa dada. Alisubiri sana mshituko wa gari ambapo fimbo yake ilikuwa inalala sambamba na mfereji, hata dada yule akahisi kitu kirefu kinambinuabinua mfrerjini nje ya nguo zake, hata gari ikisimama jamaa nyuma yake hakai mbali na bado anasikia kitu kinamsukuma mferejini.
Dada huyu jasiri akanyamaza tu. Baada ya vituo kadhaa kuhesabiwa na daladala ile, naye akiwa amefika kituo cha mwisho Mbuyuni, akageuka ghafla, akamzaba kofi kaka yule usoni na kumbwatukia kwa sana, "wewe ndio mshenzi kabisa hapa jijini, kitu gani saa zote umevutiwa kwangu? Kitu gani sema. Nimekuona tangu tunaanza safari, unachovimbishia mdudu wako kwangu ni nini kilichokuvuta......?"
Yule kaka akakaa kimya na watu wakaachwa vinywa wazi kwa bumbuwazi. Hawakuamini kaka yule ndiye aliyepigwa kofi na wala hajitetei, lakini kwenye suruali yake mishale ya zipu pametuna kisawasawa na kisha kunywea, usoni akawa mkavuuuu! Dada yule alishuka na kuendelea zake huyooooo.
Kwa waliokuwa wanaendelea ikawa bunge likijadili hili na lile yanayofanana, lakini wakiangalia usoni kwa mkaka ambaye aligeuka bubu kabisa, akashuka mwisho wa hesabu za vituo kule Kibaoni Tegeta na ktoweka haraka haraka.
Jamanieee, kina kaka tujiepushe kusimama nyuma ya kina dada watanashati kwenye daladala kama hatuna vifua kuhimili vishindo. Kama ni lazima basi simama upandeupande na au weka begi yako mbele iwatenganishe na mihamko ya madada. Unajua tena wakati mwingine...binadamu huenda akikaa sana bila kuliona shamba huingia matatani.
Lakini wakati mwingine ni tabia ya mtu, wengine wanasema wanaogopa ukimwi, akizidiwa hupanda daladala akivizia dada awe mbele yake. tena hungojea gari ijae kwa sana. Hawataki viti ili wakae. Kila mara hufanya hivyo, wengine wamejikuta wanachafua kina mama kwa mabomba yao kurukia kwenye nguo za kina mama. Aibu! Hata wengine wameshakamatwa wamevaa na silaha za kulimia tayari, majembe yao yakiwa ngangari kweli kweli.
Jamani tujihadhari, tabia hizo tukiziendekeza ndio vibao hivyo, na kupelekana polisi.
Leka
Mzee mmoja mtanashati na kijana wa makamo hivi karibia 30s akajikuta anasimama nyuma ya mdada mmoja aliyejifunga ushungi kichwani na kajifungasha nguo kadha mwilini mwake akiwa kasimama naye mbele ya kaka huyo. Gari ikawa inavipanga vituo kwa namba tangu Kariakoo hadi Mbezi Beach na kuendelea.
Si wamejazana? kaka huyo kila gari inaposhitua kwa kuongeza mwendo akajikuta fimbo yake inagusa mfereji wa makalio ya dada yule. Kwa kuwa fimbo haina siri, ikaanza kutanuka, naye akanogewa na kukaa sambamba na mfereji wa dada. Alisubiri sana mshituko wa gari ambapo fimbo yake ilikuwa inalala sambamba na mfereji, hata dada yule akahisi kitu kirefu kinambinuabinua mfrerjini nje ya nguo zake, hata gari ikisimama jamaa nyuma yake hakai mbali na bado anasikia kitu kinamsukuma mferejini.
Dada huyu jasiri akanyamaza tu. Baada ya vituo kadhaa kuhesabiwa na daladala ile, naye akiwa amefika kituo cha mwisho Mbuyuni, akageuka ghafla, akamzaba kofi kaka yule usoni na kumbwatukia kwa sana, "wewe ndio mshenzi kabisa hapa jijini, kitu gani saa zote umevutiwa kwangu? Kitu gani sema. Nimekuona tangu tunaanza safari, unachovimbishia mdudu wako kwangu ni nini kilichokuvuta......?"
Yule kaka akakaa kimya na watu wakaachwa vinywa wazi kwa bumbuwazi. Hawakuamini kaka yule ndiye aliyepigwa kofi na wala hajitetei, lakini kwenye suruali yake mishale ya zipu pametuna kisawasawa na kisha kunywea, usoni akawa mkavuuuu! Dada yule alishuka na kuendelea zake huyooooo.
Kwa waliokuwa wanaendelea ikawa bunge likijadili hili na lile yanayofanana, lakini wakiangalia usoni kwa mkaka ambaye aligeuka bubu kabisa, akashuka mwisho wa hesabu za vituo kule Kibaoni Tegeta na ktoweka haraka haraka.
Jamanieee, kina kaka tujiepushe kusimama nyuma ya kina dada watanashati kwenye daladala kama hatuna vifua kuhimili vishindo. Kama ni lazima basi simama upandeupande na au weka begi yako mbele iwatenganishe na mihamko ya madada. Unajua tena wakati mwingine...binadamu huenda akikaa sana bila kuliona shamba huingia matatani.
Lakini wakati mwingine ni tabia ya mtu, wengine wanasema wanaogopa ukimwi, akizidiwa hupanda daladala akivizia dada awe mbele yake. tena hungojea gari ijae kwa sana. Hawataki viti ili wakae. Kila mara hufanya hivyo, wengine wamejikuta wanachafua kina mama kwa mabomba yao kurukia kwenye nguo za kina mama. Aibu! Hata wengine wameshakamatwa wamevaa na silaha za kulimia tayari, majembe yao yakiwa ngangari kweli kweli.
Jamani tujihadhari, tabia hizo tukiziendekeza ndio vibao hivyo, na kupelekana polisi.
Leka