Tabia ama Kitu gani unakivumilia kwenye mahusiano yako

gfsonwin hiyo ya kukojoa kitandani ni kweli aise.
Tulikuwa na mfanyakazi mwenzetu, msomi kabisa ila mlevi mpaka basi.
Kuna siku tulikuwa naye field, alilewa na kukojoa kwenye godoro (wanaume walikuwa wengi so ikabidi wengine walale chini), kiasi kwamba mikojo ilitiririka hadi sebuleni. Next day hana Nguo ya kuchange kiasi kwamba gari lote lilikuwa linanuka mikojo.

Nikamuimagine mkewe na kumuonea huruma kwa kweli.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin hiyo ya kukojoa kitandani ni kweli aise.
Tulikuwa na mfanyakazi mwenzetu, msomi kabisa ila mlevi mpaka basi.
Kuna siku tulikuwa naye field, alilewa na kukojoa kwenye godoro (wanaume walikuwa wengi so ikabidi wengine walale chini), kiasi kwamba mikojo ilitiririka hadi sebuleni. Next day hana Nguo ya kuchange kiasi kwamba gari lote lilikuwa linanuka mikojo. Nikamuimagine mkewe na kumuonea huruma kwa kweli.



hahahahahah! Kaunga umenikumbusha siku tulisafiri kwenda kwenye science facilitation course mkoa fulan, sasa kwasababu ya vijihela vyetu usiku watu tukawa tunajiachia jaman kaka mmoja alikunywa sana na huku akijisifu kiwamba yeye anazimudu pombe. kwendsa kulala alilimwaga kojo kwa bed kama mtoto mchanga sasa wenzie walokuwa nae rum ndo walisema manake tabia hii ilijirudua siku mbili mfululizo, and wanaume si unawajua wakashindwa kuvumilia na kuanza kugossip. ilibidi awe analala peke yake hata hivyo alikuwa ananuka sana na ndipo niliposema wanawake tunavumila mengi aisee.
 
Kwa kweli nakereka sana na kitu harufu ama ya mwili ya mdomoni. Hivyo hunifanya nitakani kasafari kawepo hata ka mwezi
 
Tabia ya mwanaume kujiona yeye ndio yuko right all the time, na kwamba yeye ndio awe mzungumzaji then mwanamke msikilizaji na mtekelezaji, inanikere sana. Bado natafakari kama naweza kuivumilia kwa kiwango gani, au kwa muda gani!
 
Hatari sana!

gfsonwin hiyo ya kukojoa kitandani ni kweli aise.
Tulikuwa na mfanyakazi mwenzetu, msomi kabisa ila mlevi mpaka basi.
Kuna siku tulikuwa naye field, alilewa na kukojoa kwenye godoro (wanaume walikuwa wengi so ikabidi wengine walale chini), kiasi kwamba mikojo ilitiririka hadi sebuleni. Next day hana Nguo ya kuchange kiasi kwamba gari lote lilikuwa linanuka mikojo.

Nikamuimagine mkewe na kumuonea huruma kwa kweli.
 
Last edited by a moderator:
Vumilia tu!

Tabia ya mwanaume kujiona yeye ndio yuko right all the time, na kwamba yeye ndio awe mzungumzaji then mwanamke msikilizaji na mtekelezaji, inanikere sana. Bado natafakari kama naweza kuivumilia kwa kiwango gani, au kwa muda gani!
 
Hakuna mtu aliekamilika hata kidogo,hata mwanamke awe mzuri kiasi gani ama mwanaume awe mzuri lazima kutakua na kasoro kwenye tabia ama mambo anayoyafanya yanakukera na bado unavumilia,,Hasa kwenye Ndoa ndo balaa,mtu anachoka ama anakerwa na tabia ya mwenzake mpaka anatamani mwenzake asafiri kwa mda ama hata asimuone hapo nyumbani mda mrefu.
Na kwa nini mvumilie jamani.mnaingia Kwenye ndoa mvumilie,well simvumilii mtu.my husband friends and parents knows I'm stress free ,simu Za umbea sitaki,negativity sitaki.napenda shopping decorating my house playing with my kids calling my parents every morning ,my husband is my best friend kwa kweli ushoga na watu sipendi
 
Kweli Natalia umekuja!
Sasa ukikosa shopping?

Na kwa nini mvumilie jamani.mnaingia Kwenye ndoa mvumilie,well simvumilii mtu.my husband friends and parents knows I'm stress free ,simu Za umbea sitaki,negativity sitaki.napenda shopping decorating my house playing with my kids calling my parents every morning ,my husband is my best friend kwa kweli ushoga na watu sipendi
 
Na kwa nini mvumilie jamani.mnaingia Kwenye ndoa mvumilie,well simvumilii mtu.my husband friends and parents knows I'm stress free ,simu Za umbea sitaki,negativity sitaki.napenda shopping decorating my house playing with my kids calling my parents every morning ,my husband is my best friend kwa kweli ushoga na watu sipendi

du kweli una bahat yani mume wako hana kitu chochote kinachokukwaza ok,sio lazima liwe jambo kubwa hata jambo dogo tu ambalo n kitabia chake,,kama kukoroma,kukaa kaa jikon kila wakati kuangalia kama chakula kishaiva,,kunywa pombe kupita kiasi,,,nk
 
Mhhhh! Waislamu na Wakristo hairuhusiwi kabisa kulamba au kunyonya ile kitu ni DHAMBI kubwa sana...Wapagani ni RUKHSA tena kwa raha zao..unaweza kunyonya/kulamba asubuhi, mchana na usiku pia.

Hamtukuti sie! On a serious note, isingekuwa maadili ya kidini ningewaza ulesbian kabisa! Mpphhheeewww!
 
gfsonwin hiyo ya kukojoa kitandani ni kweli aise.
Tulikuwa na mfanyakazi mwenzetu, msomi kabisa ila mlevi mpaka basi.
Kuna siku tulikuwa naye field, alilewa na kukojoa kwenye godoro (wanaume walikuwa wengi so ikabidi wengine walale chini), kiasi kwamba mikojo ilitiririka hadi sebuleni. Next day hana Nguo ya kuchange kiasi kwamba gari lote lilikuwa linanuka mikojo.

Nikamuimagine mkewe na kumuonea huruma kwa kweli.

du hiyo ya kukojoa kitandani kali,sijawahi kuwaza kama mtu mzima aneza kujikojolea kama haumwi,,,
 
Last edited by a moderator:
DuH! Yaani njemba nyingine zinautwika kwa kupitiliza mpaka zinakuwa vikojozi!!! halafu na matapishi juu!!!! :puke: :puke: :puke:Kweli mnayavumilia mengi sana!!! DuH!!!

kwani mie sifanyi kazi? sistahili kujipenda kwa kuvaa vizuri nipendeze
hebu angalia
tunavaumilia ulevi wa kupindukia...

ufujaji wa hela hasa kwenye ulevi na nyumba ndogo.......

ubabe usiokuwa na sababu..........
ukatili wa kibaba
kukojoa kitandani
kutapika vitandani

kurudi usiku wa manane
uvivu has kwenye kazi za ndani
n.k
 
du kweli una bahat yani mume wako hana kitu chochote kinachokukwaza ok,sio lazima liwe jambo kubwa hata jambo dogo tu ambalo n kitabia chake,,kama kukoroma,kukaa kaa jikon kila wakati kuangalia kama chakula kishaiva,,kunywa pombe kupita kiasi,,,nk
Mimi mwanaume wangu ananipikia ,hakoromi,I drink vodka true red wine sometimes .mimi ndio mlevi humu ndani .tatizo wazungu wanapenda kupindukia ,too much love mpaka inakuwa karaha..
 
Back
Top Bottom