rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Hongera sana JF
Jana tuliingia jengo la TBC na kupata habari njema kwa wana JF,baada ya uongozi wa TBC kupata taarifa kutoka JF kuwa Tanzania inatangaza habari za Africa Mashariki kwenye Taarifa habari zake wakati Wakenya na Waganda hawafanyi hivyo walichukua hatua mara moja,mkuu mmoja alisikika akisema yote ya nini haya ni upuuzi mtupu,toa hizo taarifa za kipuuzi kwenye Tv yetu,kwa kweli JF ni kioo japo hawataki kukubali
Jana tuliingia jengo la TBC na kupata habari njema kwa wana JF,baada ya uongozi wa TBC kupata taarifa kutoka JF kuwa Tanzania inatangaza habari za Africa Mashariki kwenye Taarifa habari zake wakati Wakenya na Waganda hawafanyi hivyo walichukua hatua mara moja,mkuu mmoja alisikika akisema yote ya nini haya ni upuuzi mtupu,toa hizo taarifa za kipuuzi kwenye Tv yetu,kwa kweli JF ni kioo japo hawataki kukubali