Taathira za kukaa nyuma ya kompyuta kwa muda mrefu

Abdulhalim

Platinum Member
Jul 20, 2007
17,193
3,011
Wakuu heshima mbele,

Kwa maisha ya kisasa idadi kubwa ya watu ili mkono uende kinywani inanibidi watumie muda wa si chini ya masaa 8 kwa siku nyuma ya kompyuta.Taathira ya kukaa nyuma ya kompyuta kwa muda mrefu ni zipi? Je nini kifanyike walau kupunguza effect (kama zipo)?

I submit
 
kama kuna watu wanafanya hivyo kukaa nyuma computer hilo ndio litakuwa chanzo cha hayo madhara ,itawabidi wabadilishe tabia hiyo na badala yake waikalie usoni (mbele yake)Binafsi sijapatapo kusikia au kuona matumizi ya aina hiyo ya kuikalia nyuma computer.
 
kama kuna watu wanafanya hivyo kukaa nyuma computer hilo ndio litakuwa chanzo cha hayo madhara ,itawabidi wabadilishe tabia hiyo na badala yake waikalie usoni (mbele yake)Binafsi sijapatapo kusikia au kuona matumizi ya aina hiyo ya kuikalia nyuma computer.

Namaanisha ' to sit behind the PC' nikiwa na maana ya 'kutumia kompyuta' sio vinginevyo!
 
kama kuna watu wanafanya hivyo kukaa nyuma computer hilo ndio litakuwa chanzo cha hayo madhara ,itawabidi wabadilishe tabia hiyo na badala yake waikalie usoni (mbele yake)Binafsi sijapatapo kusikia au kuona matumizi ya aina hiyo ya kuikalia nyuma computer.

hahahaaaaaa!!
 
kama kuna watu wanafanya hivyo kukaa nyuma computer hilo ndio litakuwa chanzo cha hayo madhara ,itawabidi wabadilishe tabia hiyo na badala yake waikalie usoni (mbele yake)Binafsi sijapatapo kusikia au kuona matumizi ya aina hiyo ya kuikalia nyuma computer.

tehe! tehe! tehe! Ama kweli kiswahili ina tungo tata! Nadhani hujakosea big up!
 
lazima kutakuwa na madhara kiafya, kama si ya muda mfupi basi hata long-term.
cha muhimu
1) kujaribu kutokuikaribia sana PC
2) kuna kioo maalum waweza kuweka juu ya screen ya PC ili kupunguza madhara
3) mara kwa mara uwe either unaangalia kwingine ama kutembeatembea hata humo ofisini
 
lazima kutakuwa na madhara kiafya, kama si ya muda mfupi basi hata long-term.
cha muhimu
1) kujaribu kutokuikaribia sana PC
2) kuna kioo maalum waweza kuweka juu ya screen ya PC ili kupunguza madhara
3) mara kwa mara uwe either unaangalia kwingine ama kutembeatembea hata humo ofisini

Nimekusoma mkuu,

Ni muhimu kwa watu kuwa siriazi inapobidi na kuacha kujifanya vingwendu na kujichekeshachekesha tu bila sababu.

Back to the point, do you have any concrete info kuhusu hili suala, mkuu?
 
MwU,
Japo mimi sijui kwa uhakika, binafsi huwa najisikia kuchoka na kuumwa shingo, mabega na mgongo ninapokaa muda mrefu kwenye computer.Pia katika miaka takriban sita ya intensive use of computer ninaona macho nayo yanaathirika kwa speed ya ajabu.... na nikiacha kufanya kazi kwenye computer, najikuta macho yanakuwa machovu sana...sasa sijui haya ndo madhara au vipi.Tusubiri madokta na wataalamu wengine watujuze zaidi.
 
I am experiencing exactly what 'women of substance' has said because a computer is just like a smallholder farmer and his hoe to me. Could experts chip in, pls
 
Wakuu mliobobea kwenye fani ya utabibu naomba mnisaidie..mimi ni MO na hivyo sijawa daktari kamili MD..sasa ndugu yangu mmoja alinifuata akiwa na tatizo la muda mrefu la kutokwa na vijipele na akikuna kinakuwa kijidonda kwenye uume wake wote kuanzia kichwa mpaka shina..akaenda kupima vipimo vyote kuanzia kaswende, gono na pia AIDS kukawa hakuna kitu..wakamwambia ni fungus..hata mi ningefikiria hivyo..akapewa dawa ya kupaka ya fungus akapata nafuu..after one month vikarudia tena akaenda kupima tena hakuna kitu akapewa dawa ileile na tena akapata nafuu..miezi mi3 ikapita ikarudia ile hali akapima vipimo vyote ikawa negative..sasa hata akitumia hiyo dawa ya fungus hapati nafuu na inampa shida kweli..akaniambia mimi nikakosa jibu upeo wangu uliishia hapo walipofanya wengine..naombeni mchango wenu wakuu nimsaidie jamaa yangu mana hali si nzuri.
 
Wakuu mliobobea kwenye fani ya utabibu naomba mnisaidie..mimi ni MO na hivyo sijawa daktari kamili MD..sasa ndugu yangu mmoja alinifuata akiwa na tatizo la muda mrefu la kutokwa na vijipele na akikuna kinakuwa kijidonda kwenye uume wake wote kuanzia kichwa mpaka shina..akaenda kupima vipimo vyote kuanzia kaswende, gono na pia AIDS kukawa hakuna kitu..wakamwambia ni fungus..hata mi ningefikiria hivyo..akapewa dawa ya kupaka ya fungus akapata nafuu..after one month vikarudia tena akaenda kupima tena hakuna kitu akapewa dawa ileile na tena akapata nafuu..miezi mi3 ikapita ikarudia ile hali akapima vipimo vyote ikawa negative..sasa hata akitumia hiyo dawa ya fungus hapati nafuu na inampa shida kweli..akaniambia mimi nikakosa jibu upeo wangu uliishia hapo walipofanya wengine..naombeni mchango wenu wakuu nimsaidie jamaa yangu mana hali si nzuri.

Japo haihusiani na ile ya mwanzo mkuu,hili suala la vipele inaweza kuwa kuwa ni autoimmune disease,na kama we ni MO basi utakubaliana na mimi kuwa diagnosis si kitu rahisi hasa kwa magonjwa yenye dalili kama hizi nashauri mwambie jamaa yako akafanye vipimo zaidi kama hospitali inayomtibu ni ndogo basi aende kwa wataalamu zaidi hospitali kubwa na wacheck antibodies inawezekana wakagundua tatizo kwani si rahisi kwa dalili ulizotaja kupata ufumbuzi kupitia JF
 
Wakuu mliobobea kwenye fani ya utabibu naomba mnisaidie..mimi ni MO na hivyo sijawa daktari kamili MD..sasa ndugu yangu mmoja alinifuata akiwa na tatizo la muda mrefu la kutokwa na vijipele na akikuna kinakuwa kijidonda kwenye uume wake wote kuanzia kichwa mpaka shina..akaenda kupima vipimo vyote kuanzia kaswende, gono na pia AIDS kukawa hakuna kitu..wakamwambia ni fungus..hata mi ningefikiria hivyo..akapewa dawa ya kupaka ya fungus akapata nafuu..after one month vikarudia tena akaenda kupima tena hakuna kitu akapewa dawa ileile na tena akapata nafuu..miezi mi3 ikapita ikarudia ile hali akapima vipimo vyote ikawa negative..sasa hata akitumia hiyo dawa ya fungus hapati nafuu na inampa shida kweli..akaniambia mimi nikakosa jibu upeo wangu uliishia hapo walipofanya wengine..naombeni mchango wenu wakuu nimsaidie jamaa yangu mana hali si nzuri.

Kwa yeyote anayehitaji ushauri wa uhakika juu ya athari za vitu kama hivyo(emerging technology health risks and intervention to reduce risks) anitafute, kwa kuanzia anitumie pm nimpe private contacts. Nina PHD ya Occupational medicine so am confident na ushauri ninaotoa. Kama kawa sitoi ushauri bure, charge ni USD 200 per hour, so if you can manage the price, lets get in business.

NB; Kama huna hela unaweza kupata ushauri wa bure, kuna maprofesa wengi pale Muhimbili, but i doubt kwani wengi hata kufungua e mail hawajui.

Thanks and welcome
 
Wakuu mliobobea kwenye fani ya utabibu naomba mnisaidie..mimi ni MO na hivyo sijawa daktari kamili MD..sasa ndugu yangu mmoja alinifuata akiwa na tatizo la muda mrefu la kutokwa na vijipele na akikuna kinakuwa kijidonda kwenye uume wake wote kuanzia kichwa mpaka shina..akaenda kupima vipimo vyote kuanzia kaswende, gono na pia AIDS kukawa hakuna kitu..wakamwambia ni fungus..hata mi ningefikiria hivyo..akapewa dawa ya kupaka ya fungus akapata nafuu..after one month vikarudia tena akaenda kupima tena hakuna kitu akapewa dawa ileile na tena akapata nafuu..miezi mi3 ikapita ikarudia ile hali akapima vipimo vyote ikawa negative..sasa hata akitumia hiyo dawa ya fungus hapati nafuu na inampa shida kweli..akaniambia mimi nikakosa jibu upeo wangu uliishia hapo walipofanya wengine..naombeni mchango wenu wakuu nimsaidie jamaa yangu mana hali si nzuri.

Hili nalo linahusiana na matumizi ya Computer?
 
Kwa yeyote anayehitaji ushauri wa uhakika juu ya athari za vitu kama hivyo(emerging technology health risks and intervention to reduce risks) anitafute, kwa kuanzia anitumie pm nimpe private contacts. Nina PHD ya Occupational medicine so am confident na ushauri ninaotoa. Kama kawa sitoi ushauri bure, charge ni USD 200 per hour, so if you can manage the price, lets get in business.

NB; Kama huna hela unaweza kupata ushauri wa bure, kuna maprofesa wengi pale Muhimbili, but i doubt kwani wengi hata kufungua e mail hawajui.

Thanks and welcome

Hebu give back to the community jamani.If u r capable of charging and making that much, for sure you can spare sometime for the community as part of ur social responsibilities.I am sure hata wewe unafaidika na michango ya wengine humu JF au unataka kusema wengine hawaijui hela?
 
Namaanisha ' to sit behind the PC' nikiwa na maana ya 'kutumia kompyuta' sio vinginevyo!

Bado maana ni ile ile mzee sema to seat infront of PC...mwanzo umenichanganya hata mie...kwa kiingereza napo mzee umechangaya...imekuwa ngumu kuandika seat infront of PC?
 
Hebu give back to the community jamani.If u r capable of charging and making that much, for sure you can spare sometime for the community as part of ur social responsibilities.I am sure hata wewe unafaidika na michango ya wengine humu JF au unataka kusema wengine hawaijui hela?

Niko pamoja nawe WOS...jamaa kawa mkavu sana....ushari tu kwa tanzania unacharge dola 200 ohh noooooo...

Kweli watu watapata matibabu?Kama ushauri ndio huu?Matibabu yatakuwa ni 700USD sasa.

C'mon
 
Niko pamoja nawe WOS...jamaa kawa mkavu sana....ushari tu kwa tanzania unacharge dola 200 ohh noooooo...

Kweli watu watapata matibabu?Kama ushauri ndio huu?Matibabu yatakuwa ni 700USD sasa.

C'mon

Niko pamoja nawe Buswelu pamoja na WOS nina wasiwasi na huyu jamaa yawezekana ni mweupe kabisa katika fani ya u-daktari thus why anaweka price kubwa ili watu washindwe kwenda kumwona maana inavyoonekana hajui chochote.
 
Kuna mtu kaniPM eti kufanya kazi na computer kuna sababisha kupunguia kwa nguvu za kiume!

Guys watch out mimi ninampango wa kutafuta typewriter.
 
Back
Top Bottom