Ze Expected
Member
- Nov 24, 2013
- 22
- 1
kutokana na mkopo utolewao na HESLB hususani 'tuition fee' kutokidhi mahitaji halisi ya wanachuo tulio wengi na hii ni kutokana na hali halisi za famila zetu. basi yeyote anayejua VYANZO VINGINE iwe ni mashirika binafsi, taasisi za dini, n.k ....tafadhali atushirikishe.....tutangulize utu na MUNGU awabariki kwa mawazo mtakayotoa....asanteni.