- Thread starter
- #81
Mweka hazina wa CCM anasema yupo Ujerumani na Rostam mwenyewe alikiri alikuwa Arumeru wewe unabisha nini?Kwa kweli kwa uongo mnaongoza. Nimongea na Rostam muda mfupi uliopita akiwa Pariis Ufaransa, Waikati huo huo Chadema mnasema yuko Arumeru anawasaidia !! Hata propaganda lazima iwe inafanana na ukweli siyo uongo mtupu.